Nataka kuhamia kwangu chumba kimoja nina mke na mtoto wa mwaka mmoja na miezi 6

Nataka kuhamia kwangu chumba kimoja nina mke na mtoto wa mwaka mmoja na miezi 6

Eliud Bunju

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
356
Reaction score
666
Nmeezeka nyumba yote lakini milango na madirisha naona bajeti yangu bado ndogo sana

Nipo na laki 8 mfukoni mawazo yananiambia nimalizie master bedroom nipige gypsum roof floor na plaster na Choon sink la kukaa then ntafurah solar

Naombeni usharudi wenu kwasabb fundi wa gril kaniambia nitafute laki 9 atanipigia milango ya mbele na nyuma na madirisha yote.

Sasa hapa nawaza usiku kucha nipige madirisha na milango ya nje halafu nisubili pesa nyingne nisihamie sasa hivi au nikarabati chumba kimoja halafu nihamie ili nimalizie nikiwa palepale kwangu.
 
Kwani huko unakoishi sahivi Kodi imeisha? Unaweza kujitafutiza kidogo kidogo ukamilishe Chumba hiko kimoja then unahamia huku unabangaiza kumalizia nyumba yote ukiwa kwako.

Sometimes huwa ni amani sana kuishi kwako kuliko nyumba za kupanga.
 
Hongera kwa hatua nzuri

Achana na choo cha kukaa weka floor tiles za public toilet na choo cha kuchuchumaa. Weka grils nyumba yote.

Tafuta wavu weka madirishani na grills za mbele na nyuma.
Milango ya ndani weka mapazia. Mlango wa choo tafuta vipande vya bati naamini kunavilivyobaki. Ukiwa na mbao 2 za 4x2 biashara inaisha.

Hamia, hapa utakuwa na nyumba nzima hata ukiwa na mgeni wa dharura utaweza kumpokea.
Kutokea hapa nenda mwendo wa pole

Ni experience yangu binafsi niliyopitia
 
Hongera kwa hatua nzuri

Achana na choo cha kukaa weka floor tiles za public toilet na choo cha kuchuchumaa. Weka grils nyumba yote.

Tafuta wavu weka madirishani na grills za mbele na nyuma.
Milango ya ndani weka mapazia. Mlango wa choo tafuta vipande vya bati naamini kunavilivyobaki. Ukiwa na mbao 2 za 4x2 biashara inaisha.

Hamia, hapa utakuwa na nyumba nzima hata ukiwa na mgeni wa dharura utaweza kumpokea.
Kutokea hapa nenda mwendo wa pole

Ni experience yangu binafsi niliyopitia
Nmefanya hivo naweka magril kwanza
 
Nmeezeka nyumba yote lakini milango na madirisha naona bajeti yangu bado ndogo sana

Nipo na laki 8 mfukoni mawazo yananiambia nimalizie master bedroom nipige gypsum roof floor na plaster na Choon sink la kukaa then ntafurah solar

Naombeni usharudi wenu kwasabb fundi wa gril kaniambia nitafute laki 9 atanipigia milango ya mbele na nyuma na madirisha yote.

Sasa hapa nawaza usiku kucha nipige madirisha na milango ya nje halafu nisubili pesa nyingne nisihamie sasa hivi au nikarabati chumba kimoja halafu nihamie ili nimalizie nikiwa palepale kwangu.
Daah
 
Nmeezeka nyumba yote lakini milango na madirisha naona bajeti yangu bado ndogo sana

Nipo na laki 8 mfukoni mawazo yananiambia nimalizie master bedroom nipige gypsum roof floor na plaster na Choon sink la kukaa then ntafurah solar

Naombeni usharudi wenu kwasabb fundi wa gril kaniambia nitafute laki 9 atanipigia milango ya mbele na nyuma na madirisha yote.

Sasa hapa nawaza usiku kucha nipige madirisha na milango ya nje halafu nisubili pesa nyingne nisihamie sasa hivi au nikarabati chumba kimoja halafu nihamie ili nimalizie nikiwa palepale kwangu.

Kwako ni kwako Muraaa, maliza kimoja jamia kwako,unakuwa baba mwenye nyumba,na hunyanyaswi tena na baba na mama mwenye nyumba yake,kodi iliyokuwa ikimlipa itafanya yaliyosalia.Isiishi maisha ya mtu mwingine ishi maisha yako, familia itakuelewa na itakusaidia kufikia malengo.Tena sasa hata panya road wakipita hapo wataambiana huyu mchomvu mwenzetu kuhamia hata kabla hajamaliza,achana naye tuende penye uhakika🤸🤸
 
Kwani huko unakoishi sahivi Kodi imeisha? Unaweza kujitafutiza kidogo kidogo ukamilishe Chumba hiko kimoja then unahamia huku unabangaiza kumalizia nyumba yote ukiwa kwako.

Sometimes huwa ni amani sana kuishi kwako kuliko nyumba za kupanga.

Nchi yenyewe ya tozo unataka amani ya nini [emoji28]
 
Nchi yenyewe ya tozo unataka amani ya nini [emoji28]
Hahahahaha...............hizi Tozo tumekubali wenyewe kuwa Makondoo

Imagine Nchi zinazojitambua kupanda tu bei Mkate wanaandamana, sisi huku bei za bidhaa zinapanda hata mara mbili ya gharama za awali tunaona kawaida.
 
Nmeezeka nyumba yote lakini milango na madirisha naona bajeti yangu bado ndogo sana

Nipo na laki 8 mfukoni mawazo yananiambia nimalizie master bedroom nipige gypsum roof floor na plaster na Choon sink la kukaa then ntafurah solar

Naombeni usharudi wenu kwasabb fundi wa gril kaniambia nitafute laki 9 atanipigia milango ya mbele na nyuma na madirisha yote.

Sasa hapa nawaza usiku kucha nipige madirisha na milango ya nje halafu nisubili pesa nyingne nisihamie sasa hivi au nikarabati chumba kimoja halafu nihamie ili nimalizie nikiwa palepale kwangu.
Umefukuzwa unakopanga?
 
Back
Top Bottom