wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Nmeezeka nyumba yote lakini milango na madirisha naona bajeti yangu bado ndogo sana
Nipo na laki 8 mfukoni mawazo yananiambia nimalizie master bedroom nipige gypsum roof floor na plaster na Choon sink la kukaa then ntafurah solar
Naombeni usharudi wenu kwasabb fundi wa gril kaniambia nitafute laki 9 atanipigia milango ya mbele na nyuma na madirisha yote.
Sasa hapa nawaza usiku kucha nipige madirisha na milango ya nje halafu nisubili pesa nyingne nisihamie sasa hivi au nikarabati chumba kimoja halafu nihamie ili nimalizie nikiwa palepale kwangu.
Choo cha kukaa kwani ni lazma??weka sink la kuchuchumaa la 30 elfu k.koo hicho choo cha kukaa tuu bei yake kile kizudi ji 350000 cha kawaida saaana 150000 au used 100000 mpaka 80000 sasa hiyo hela yote si itaishia hapo?