Nataka kuhamia kwangu chumba kimoja nina mke na mtoto wa mwaka mmoja na miezi 6


Choo cha kukaa kwani ni lazma??weka sink la kuchuchumaa la 30 elfu k.koo hicho choo cha kukaa tuu bei yake kile kizudi ji 350000 cha kawaida saaana 150000 au used 100000 mpaka 80000 sasa hiyo hela yote si itaishia hapo?
 
Huu ni ushauri bora kabisa.

Umekuwa positive sana Mkuu.
 
Wakuu nilitype error nilikua naamaanisha sink la choo sio sink la kukaa.
 
endelea kulipa kodi uliko, usihamie bila kuweka grills na kuziba na wavu kuzuia mbu,

unawajua culex, aedes na anopheles ?

Kataa Malaria na Dengue

Unajua anaishi wapi? Pengine yupo Njombe ambako hakuna mbu kama sehemu za joto!
 
Hahahahaha...............hizi Tozo tumekubali wenyewe kuwa Makondoo

Imagine Nchi zinazojitambua kupanda tu bei Mkate wanaandamana, sisi huku bei za bidhaa zinapanda hata mara mbili ya gharama za awali tunaona kawaida.

Kwa hiyo wakiandamana bei ya mkate inashuka au inakuwaje?
 


Nakupongeza, na huo ndo uanaume, lakini angalia isije kuwa gharama za usafiri, miundo mbinu, upatikanaji wa maji ni gharama zaidi kulilo kupanga
 
Huwezi amini hiyo nyumba yako ingekuwa ni mtu wa huku kwetu siku nyingi sana angekuwa ameshahamia huku mtu akishapiga tu bati anajiongeza
 
Kwanza hongera sana mkuu kwa hatua hiyo.
My two cents:
Hakikisha usalama kwanza. Yaani grilles, wavu, milango etc. Kwa mimi, comfort kiasi ni muhimu, hivyo ningeangalia kwanza comfort ya familia yangu. Kama choo cha kukaa ni muhimu kwangu na wife, then weka. Una mtoto mdogo, zingatia usafi. Je floor yako itakuwa ngumu kuhakikisha haina vumbi la kupitiliza litaloweza kumsababishia mtoto ama wewe na wife matatizo ya kiafya yatayowasumbua kwa muda mrefu mbeleni? Zingatia namna ya kudeal na hizo changamoto halafu hamia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…