Nataka kuingia kinyang'anyiro cha Ubunge jimbo la Kwela, nipeni data!

Nataka kuingia kinyang'anyiro cha Ubunge jimbo la Kwela, nipeni data!

Ex- Fisadi na wachangiaji wengine

Kwangu, naona mawazo yenu, ni mazuri mno. Nilitarajia kwamba nitapata changamoto ya kutosha kwenu. Ninathamini mawazo yenu yote. Hata hivyo special thanks to Ex-Fisadi, ninahitaji comments zitakazo nipatia changamoto kama za huyu ndugu. Comments za kina zitanisaidia, kufanya SWOT analysis (Stregth, Weaknesses, Opportunity and Threat) Analysis. Mawazo yenu ni changamoto nzuri ya kuelekea kutimiza ndoto yangu. Ninaendelea kupata mahali pa kuanzia. Tafadhali kwa wale watakaopenda kunitumia Private Mesage (PM) wafanye hivyo. Email yangu ni twamlaula@gmail.com

Ninaomba muendelee kuachilia vitu. Ninataka mmwage mapungufu yote, mnayoyaona kwangu. Ndiyo maana nimejiweka wazi ili nipate maoni yenu. Niko tayari nipokee kila kitu ambacho mtasema, ili nianza kukifanyia kazi. Pale nitakapo yafahamu mapungufu yangu vyema, ndipo nitafahamu namna ya kuanza kusogeza mguu mbele.

Nimatumaini yangu kwamba nitapokea PM kutoka kwa Ex-Fisadi na wengineo.

Kamwe siogopi uchawi, na hauwezi kunifanya lolote. Hakuna uchawi juu yangu, soma Hesabu 23:23 (Biblia takatifu). Big up to First Lady1 and nguvumali.

Abraham Lincoln " If you give me six hours to chop down the tree, i will spend the first four hours sharpening an axe"

jamani wewe sisi tutakukosoaje wakati hatukujui,hatujui sera zako
kwa kifupi hatuna personal profile ya kwako inakuja kweli ?????
 
Ndg zangu wana JF, ninaishi Mwanza, na ni mzaliwa wa mkoa wa Rukwa. Nimesoma thread inayohusu Mrema na Kimaro kule Vunjo; malumbano yao yameibua kitu ndani mwangu, kile nilichokuwa nikikitamani miaka mingi, yaani ukombozi wa jimbo la Kwela. Nimeguswa na kuelewa kwamba siyo tu vunjo inayokaliwa kimabavu na wanasiasa wasio na msaada kwa wananchi, hata Jimbo la Kwela, Sumbawanga (mh Mzindakaya). Nataka nikatoe changamoto na hatimaye kungo'oa kisiki hicho cha mpingo katika kinyang'anyiro cha Ubunge kupitia CCM, kuanzia kura za Maoni.

Sina uzoefu mkuubwa sana katika siasa, lakini elimu yangu ni ya chuo kikuu na uzoefu wa kutosha katika shughuli nyingine za kijamii, siyo siasa.

Ningependa kupata taarifa zifuatazo:

a) Fukuto la uchaguzi la mwakani katika jimbo hilo!

b) Kura za maoni zitafanyika mwezi upi

c) Ni nani na nani ambao wamejitokeza hadi sasa ktk kuonyesha nia ya kuingia katika kinyang'anyiro. Ukimfahamu mshindani wako ni rahisi kumng'oa.

d) Sifa za mtu anayetakiwa kugombea ubunge, kupitia CCM!

Naombeni taarifa za kina zitakazo nisaidia kujipanga vyema.

Nitafurahi kama mtanishirikisha kwa PM (private message) ili msianike mchele kwa kuku wengi.
Mkuu Malinga, usisikie vitisho vya watu kuwa eti jamaa sijui na mchawi au nini. Jimbo la Kwela linahitaji mabadiliko na kwa kuanzia ni kumchomoa huyo jamaa.
Tatizo lako ni kuwa hujatoa details kama kweli ni mwana sisiem kweli na una ushawishi gani katika chama na hasa huku Kwela.
Karibu sana mzee mimi nitakuwa mmoja wa timu ya kampeni endapo utakuwa na sera nzuri kwa maendeleo ya Jimbo letu.
 
Mitanzania ni mioga kweli kweli na imani za uchawi na ushirikina zimewajaa. Ni kutokana na ujinga huo, watu kama akina Mzindakaya wanapeta miaka yote hiyo huenda bila kufanya la maana lolote kule Kwela.

Malinga, nakushauri zingatia mawazo chanya mbalimbali yaliyotolewa hapa. Achana na hao waoga ambao shauri ya uoga wao hakuna wanachoweza kufanikiwa maana kila failure wataiambatanisha na uchawi.

Hakuna mwenye hati miliki kwenye jimbo. Muhimu ni kuwaelemisha wananchi ili wajue uko upande wao; upande wa kutetea hali zao na maslahi yao na sio kwamba unatafuta hiyo kazi kwasababu za kuchuma baada ya kushindwa kupata pesa kupitia kazi zako za sasa.

Tanzania inahitaji mabadiliko na kadri watu wengi wapya na wenye mawazo mapya watakavyoamua kugombea, itakuwa bora kwa nchi yetu.

Nakutakia mafanikio mema. Kumbuka watu wengi watakaogombea 2010 wanaishi mbali na yaliko majimbo wanayogombea. Muhimu ni kuwa karibu na wananchi na wakuelewe dhamira yako.
 
kina mzindakaya wanatishia nyau tu lazima mapinduzi yafanywe
 
Ex- Fisadi na wachangiaji wengine

Kwangu, naona mawazo yenu, ni mazuri mno. Nilitarajia kwamba nitapata changamoto ya kutosha kwenu. Ninathamini mawazo yenu yote. Hata hivyo special thanks to Ex-Fisadi, ninahitaji comments zitakazo nipatia changamoto kama za huyu ndugu. Comments za kina zitanisaidia, kufanya SWOT analysis (Stregth, Weaknesses, Opportunity and Threat) Analysis. Mawazo yenu ni changamoto nzuri ya kuelekea kutimiza ndoto yangu. Ninaendelea kupata mahali pa kuanzia. Tafadhali kwa wale watakaopenda kunitumia Private Mesage (PM) wafanye hivyo. Email yangu ni twamlaula@gmail.com

Ninaomba muendelee kuachilia vitu. Ninataka mmwage mapungufu yote, mnayoyaona kwangu. Ndiyo maana nimejiweka wazi ili nipate maoni yenu. Niko tayari nipokee kila kitu ambacho mtasema, ili nianza kukifanyia kazi. Pale nitakapo yafahamu mapungufu yangu vyema, ndipo nitafahamu namna ya kuanza kusogeza mguu mbele.

Nimatumaini yangu kwamba nitapokea PM kutoka kwa Ex-Fisadi na wengineo.

Kamwe siogopi uchawi, na hauwezi kunifanya lolote. Hakuna uchawi juu yangu, soma Hesabu 23:23 (Biblia takatifu). Big up to First Lady1 and nguvumali.

Abraham Lincoln " If you give me six hours to chop down the tree, i will spend the first four hours sharpening an axe"

Ndugu yangu sina cha kukuelezea privately zaidi ya kurudia kusema kuwa hufai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji.

Kwanza jiunge na unachokipenda, unachoamini kinaweza kukusaidia kutimiza ndoto zako, halafu uanze kujifunza siasa na taratibu za chama chako kabla ya kufikiria kuwa kiongozi.

Binafsi nakuona huna sifa ya kuwa Mwakilishi wa watu zaidi ya kuwa mdadisi tu.
 
Ndugu yangu sina cha kukuelezea privately zaidi ya kurudia kusema kuwa hufai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji.

Kwanza jiunge na unachokipenda, unachoamini kinaweza kukusaidia kutimiza ndoto zako, halafu uanze kujifunza siasa na taratibu za chama chako kabla ya kufikiria kuwa kiongozi.

Binafsi nakuona huna sifa ya kuwa Mwakilishi wa watu zaidi ya kuwa mdadisi tu.

Malinga usitishwe na yeyote, wewe zingatia watu wa kwela wanataka nini, na je wako tayari kufanya mabadiliko? kama babu huyo wameshamchoka utachukua na atatoka tu, mfano ni mwaka 1980 au 1985 pale Tingatinga Malechela watu wa Mvumi Dodoma walipomchoka na kumweka injinia kijana aliyekuwa anafanya kazi Mwadui, jina sikumbuki vizuri lakini nafikiri aliitwa Mazengo, huyu bwana alimshikisha adabu mzee yule kwani mambo yake wakati ule hayakuwa tofauti sana na Mzindakaya kwa watu wa jimbo lake, hata hivyo nakutakia mema mbele ya safari hata kama utajikwaa lakini utakuwa umesogea mbele
icon2.gif
 
Ndg zangu wana JF, ninaishi Mwanza, na ni mzaliwa wa mkoa wa Rukwa. Nimesoma thread inayohusu Mrema na Kimaro kule Vunjo; malumbano yao yameibua kitu ndani mwangu, kile nilichokuwa nikikitamani miaka mingi, yaani ukombozi wa jimbo la Kwela. Nimeguswa na kuelewa kwamba siyo tu vunjo inayokaliwa kimabavu na wanasiasa wasio na msaada kwa wananchi, hata Jimbo la Kwela, Sumbawanga (mh Mzindakaya). Nataka nikatoe changamoto na hatimaye kungo'oa kisiki hicho cha mpingo katika kinyang'anyiro cha Ubunge kupitia CCM, kuanzia kura za Maoni.

Sina uzoefu mkuubwa sana katika siasa, lakini elimu yangu ni ya chuo kikuu na uzoefu wa kutosha katika shughuli nyingine za kijamii, siyo siasa.

Ningependa kupata taarifa zifuatazo:

a) Fukuto la uchaguzi la mwakani katika jimbo hilo!

b) Kura za maoni zitafanyika mwezi upi

c) Ni nani na nani ambao wamejitokeza hadi sasa ktk kuonyesha nia ya kuingia katika kinyang'anyiro. Ukimfahamu mshindani wako ni rahisi kumng'oa.

d) Sifa za mtu anayetakiwa kugombea ubunge, kupitia CCM!

Naombeni taarifa za kina zitakazo nisaidia kujipanga vyema.

Nitafurahi kama mtanishirikisha kwa PM (private message) ili msianike mchele kwa kuku wengi.

mwanzo kabisa niliona ni kama kamchezo vile, post yako ya pili nikaona upo serious, sasa kama unahitaji msaada kutoak hapa JF hebu fanya haya

1)weka hapa profile yako
2)una cheo au sifa gani ndani ya CCM
3) unafahamika kwa kiwago gani hapo Kwela
4)weka baadhi ya sera zako huku ukitupa sababu za hizo sera (kwamba hiyo sera umeiweka kwa sababu sera ya mzindakaya ilishindwa)
5) mwisho tueleze mchakato wako wa kugombea upo vipi( unaanzia wapi na kuishia wapi)

nadhani hapo unaweZa AT LEAST kupata vitu vya kuanzia
 
Ndg zangu wana JF, ninaishi Mwanza, na ni mzaliwa wa mkoa wa Rukwa. Nimesoma thread inayohusu Mrema na Kimaro kule Vunjo; malumbano yao yameibua kitu ndani mwangu, kile nilichokuwa nikikitamani miaka mingi, yaani ukombozi wa jimbo la Kwela. Nimeguswa na kuelewa kwamba siyo tu vunjo inayokaliwa kimabavu na wanasiasa wasio na msaada kwa wananchi, hata Jimbo la Kwela, Sumbawanga (mh Mzindakaya). Nataka nikatoe changamoto na hatimaye kungo'oa kisiki hicho cha mpingo katika kinyang'anyiro cha Ubunge kupitia CCM, kuanzia kura za Maoni.

Sina uzoefu mkuubwa sana katika siasa, lakini elimu yangu ni ya chuo kikuu na uzoefu wa kutosha katika shughuli nyingine za kijamii, siyo siasa.

Ningependa kupata taarifa zifuatazo:

a) Fukuto la uchaguzi la mwakani katika jimbo hilo!

b) Kura za maoni zitafanyika mwezi upi

c) Ni nani na nani ambao wamejitokeza hadi sasa ktk kuonyesha nia ya kuingia katika kinyang'anyiro. Ukimfahamu mshindani wako ni rahisi kumng'oa.

d) Sifa za mtu anayetakiwa kugombea ubunge, kupitia CCM!

Naombeni taarifa za kina zitakazo nisaidia kujipanga vyema.

Nitafurahi kama mtanishirikisha kwa PM (private message) ili msianike mchele kwa kuku wengi.

Kama unataka kugombea kupitia ccm basi umefulia.Huwezi kupata nafasi ya kushinda kura za maoni kwakuwa wewe ni kijana mdogo kwani ccm hawana sera na vijana.Nyie mtaambiwa subirini ajira milioni 2,hiyo nafasi waachie magwiji ya siasa.Fursa kwa vijana ccm ni finyu mno.........kaa tafakari na uchukue hatua.
 
Back
Top Bottom