Nataka kuingiza nchini container za Jezi za Aston Villa

Nataka kuingiza nchini container za Jezi za Aston Villa

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuqa wanajamvi,

Aiseee chalii zangu wanaJF nimewasiliana na baadhi ya watu Thailend na Bangladesh kuhusu kushona hizi jezi za Aston Villa. Inawezekana aiseee.

Ninampango wa kushusha container la futi arubaini iliyosheheni jezi ya hii klabuya kipekee ambayo kijana wetu kipenzi national treasure Mbwana Samatta anaichezea.

Bado niko kwenye harakati za mawasiliano na hawa wadau. Kwa iyo nawaomba muwe wavumiliu mchakato ukiendelea. Hii container moja ni majaribio tu kama ikitiki nashusha mzigo mzito wa container 5. Na zoezi litaendelea bila kikomo ili kila mzalendo apate Jersey ya kijana wetu mesaya wa Aston villa.

Tuombeane uzima tu Mesaya wa Aston villa atakavoivusha Salama AVFC na hatimae kutwaa ubingwa wa EPL msimu ujao.
Samatta10.jpg

Samatta10.jpg
GettyImages-1200792680.jpg
 
Wazo zuri kama hili sio la kuuliza mawazo hapa JF kama upo serious na biashara Fanya mpango mapema vinginevyo watakuja akina shafii dauda na edo kumwembe kukupiga Gap
 
Mzuqa wanajamvi,

Aiseee chalii zangu wanaJF nimewasiliana na baadhi ya watu Thailend na Bangladesh kuhusu kushona hizi jezi za Aston Villa. Inawezekana aiseee.

Ninampango wa kushusha container la futi arubaini iliyosheheni jezi ya hii klabuya kipekee ambayo kijana wetu kipenzi national treasure Mbwana Samatta anaichezea.

Bado niko kwenye harakati za mawasiliano na hawa wadau. Kwa iyo nawaomba muwe wavumiliu mchakato ukiendelea. Hii container moja ni majaribio tu kama ikitiki nashusha mzigo mzito wa container 5. Na zoezi litaendelea bila kikomo ili kila mzalendo apate Jersey ya kijana wetu mesaya wa Aston villa.

Tuombeane uzima tu Mesaya wa Aston villa atakavoivusha Salama AVFC na hatimae kutwaa ubingwa wa EPL msimu ujao.
View attachment 1334093
View attachment 1334093View attachment 1334095

Thailend ndo wapi
 
Back
Top Bottom