Humphrey Humphrey
Member
- Jul 13, 2019
- 51
- 93
Naweka swala langu hapa nikiamini sijakosea.
Shida yangu kubwa ni namna yakuifanya 2.0Mil ianzishe na kusustain biashara.
Shortly; mimi ni kijana nipo dodoma, nilikua nafanya kazi sehemu flani mkoa jirani, nikapata post ya serikalini, sikuipenda ila wanaonizunguka hasa familia hawakutazama kama nilivyotazama mimi (Najua inafahamika namna gani watu wanatamani kuajiriwa serikalini). Ndoto zangu sio kuajiriwa milele hivyo kwangu haikua golden chance kama walivyoiona wao.
Kiufupi walifanya nikaacha kazi niliyofanya(private) kwaajili ya hiyo post ya serikali ambayo hivi ninavyoandika imeshashindikana (sioni haja yakufafanua hapo)
Kikubwa ni kua baada ya gharama zote zakusatle kwenye kazi mpya iliyoharibika nimejikuta nimebaki na milioni mbili tuu, na sijisikii tena kuomba ajira kwa mtu yeyote maana hata kilicho fanya hiyo kazi mpya kuharibika ni pale mkuu mmoja wa idara alipotaka nimuabudu na kumnyenyekea kupita kiasi ( msiniquote vibaya, mimi niko humble sana tuu, ila kila kitu kina kiasi)
Sasa nataka kufanya biashara simple inayofit kwenye hiyo capital yangu. Nahitaji msaada wa idea inayotekelezeka maana all my life will depend on that.
Shida yangu kubwa ni namna yakuifanya 2.0Mil ianzishe na kusustain biashara.
Shortly; mimi ni kijana nipo dodoma, nilikua nafanya kazi sehemu flani mkoa jirani, nikapata post ya serikalini, sikuipenda ila wanaonizunguka hasa familia hawakutazama kama nilivyotazama mimi (Najua inafahamika namna gani watu wanatamani kuajiriwa serikalini). Ndoto zangu sio kuajiriwa milele hivyo kwangu haikua golden chance kama walivyoiona wao.
Kiufupi walifanya nikaacha kazi niliyofanya(private) kwaajili ya hiyo post ya serikali ambayo hivi ninavyoandika imeshashindikana (sioni haja yakufafanua hapo)
Kikubwa ni kua baada ya gharama zote zakusatle kwenye kazi mpya iliyoharibika nimejikuta nimebaki na milioni mbili tuu, na sijisikii tena kuomba ajira kwa mtu yeyote maana hata kilicho fanya hiyo kazi mpya kuharibika ni pale mkuu mmoja wa idara alipotaka nimuabudu na kumnyenyekea kupita kiasi ( msiniquote vibaya, mimi niko humble sana tuu, ila kila kitu kina kiasi)
Sasa nataka kufanya biashara simple inayofit kwenye hiyo capital yangu. Nahitaji msaada wa idea inayotekelezeka maana all my life will depend on that.