Inategemea ulichukua mkopo wa muda gani. pia usihangaike kuwashtaki wewe subiri wakate deni lao kwa muda wa miezi 10, kisha tafuta pesa kiasi ulichokopa nenda kawaambie unataka kumaliza deni, utajikuta umelipa hiyo hiyo ulichukua. nilifanya hivyo na nilifanikiwa.