habari wanajf.
nlikopa shs 1.2milioni toka faidika july mwaka jana, nikapiga simu kwa wahusika mwezi october wakanisms kuwa nitawalipa shs 3.3milioni kwa miezi 36. zilipotoka salary slip za dec 2014 imeandikwa jumla ni 7,3milioni. naweza kuwashtaki?
Inategemea ulichukua mkopo wa muda gani. pia usihangaike kuwashtaki wewe subiri wakate deni lao kwa muda wa miezi 10, kisha tafuta pesa kiasi ulichokopa nenda kawaambie unataka kumaliza deni, utajikuta umelipa hiyo hiyo ulichukua. nilifanya hivyo na nilifanikiwa.
Sio kila kitu unakimbilia kushitaki. Kushitaki ina maana mna mgogoro ambao mmeshindwa kuutatua nyie pande mbili hivyo mnaiomba mahakama iwasaidie kutatua mgogoro huo. Cha kufanya ni kuwaona wao. Wewe kitakachokulinda ni ule mkataba mlioandikishana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.