Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Wakurugenzi habari zenu!
Nimekuwa nikishawishika kujaribu hiki kilimo lakini sijui ABCs za hii shughuli. Kwa ufupi mimi nina shamba langu halo liko Kasulu kando ya mto Ruchugi, shamba hili linakuwa karibu na maji mwaka mzima. Niliweka ndugu zangu pale shambani nikiamini kwamba lingewatoa kimaisha maana mwaka mzima wewe unakuwa na mazao ya kila aina lakini wenyewe wamekuwa wavivu sana! Sasa nimepata wazo la kuanzisha ufugaji wa samaki sijui utanitoa? Naomba wadau wenye uzoefu na hii shughuli wanipe maoni yao na namna bora ya kufanikisha zoezi hili! Je kwa hapa nchini ni wadau gani wanatoa ufadhili wa kilimo cha samaki?
Nimekuwa nikishawishika kujaribu hiki kilimo lakini sijui ABCs za hii shughuli. Kwa ufupi mimi nina shamba langu halo liko Kasulu kando ya mto Ruchugi, shamba hili linakuwa karibu na maji mwaka mzima. Niliweka ndugu zangu pale shambani nikiamini kwamba lingewatoa kimaisha maana mwaka mzima wewe unakuwa na mazao ya kila aina lakini wenyewe wamekuwa wavivu sana! Sasa nimepata wazo la kuanzisha ufugaji wa samaki sijui utanitoa? Naomba wadau wenye uzoefu na hii shughuli wanipe maoni yao na namna bora ya kufanikisha zoezi hili! Je kwa hapa nchini ni wadau gani wanatoa ufadhili wa kilimo cha samaki?