au kama vipi awe anatembea na kipiga shoti "electric taser gun" kama changu, nishawahi kuwapiga nacho mateja kama wawili kwenye korodani mbona mpaka leo wanatoa heshima maana hata hawakujua ni nini kimewasibu...
mkuu hiyo electric gun ndio mpango mzima, vinauzwa wapi bob?
Hivi mlivyovitaja vinapatikana kweli huko kwetu,na sheria ya jeshi la polisi inasemaje juu ya umilikaji wa vitu hivi..?? H apa naomba msaada zaidi kwa Ruttashobolwa
nalo neno ila bei mkubwaaa kwani ni sh ng'api?
unantafuta ee?? Nikishajifunza naanza na wewe..