stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,105
- Thread starter
- #21
au kama vipi awe anatembea na kipiga shoti "electric taser gun" kama changu, nishawahi kuwapiga nacho mateja kama wawili kwenye korodani mbona mpaka leo wanatoa heshima maana hata hawakujua ni nini kimewasibu...
nalo neno ila bei mkubwaaa kwani ni sh ng'api?