Nataka kujitoa muhanga kwenye biashara hii jamani

Nataka kujitoa muhanga kwenye biashara hii jamani

Mkuu biashara ya poda unalipa soon tu unakua km wao na km utabeba mwenyewe utawashinda kabisa mpunga
 
Kuna uwekezaji nimetamani kuufanya,, najua nikiufanya naweza kuambulia chochote kinywani

Natarajia kuwekeza kama 1.7 MIL.. Na nikifanikiwa kuna uwezekano nikapata pesa nyingi hapo baadae yaani baada ya miezi 2\3

Marafiki zangu wengi wananishauri nisilifanye jambo ninalo lifikiria bali wananielekeza njia nyingine ambayo mimi naiona ni gumu Sana na naiona ni hatari kwenye uchumi na maisha yangu

Jambo ninalotaka kulifanya ni aina ya biashara ambayo hata wao wanaifanya na nawashuudia wana maisha mazuri kuliko mimi

Lakini wananiambia nisifanye kama wanavyofanya wao kwani na wao wanatafuta njia ya kujiboreshea biashara hiyo

Jamani Naona kama wananipotezea mda tuu kunipa ushauri wao,, ingawa ni 90% wananikataza

Swali ni kwamba mbona wao bado wanafanya na wana maisha mazuri kuliko mimi, ,,kwanini wananielekeza njia ambayo naiona ni hatari kwenye uchumi Wangu..

nataka niwapotezee hawa watu jamani,, nisimame na msimamo Wangu mnanishauri nini?
Biashara yenyewe umeificha ni vigumu kupata ushauri mzuri, funguka aina ya biashara na mazingira ya kuifanyia uchangiwe mawazo.
 
Ni kweli kwa mtaji huo mirungi unafanya bila shida kabisa na hao jamaa kama wataendelea kukunyima ushirikiano kibiashara nitakuunganisha na bashite kazi utapiga,yangu ni hayo tu
 
ndio bodaboda ni kazi haswa ingia tuu tafuta kijiwe kizuri
 
Ifanye tu mkuu,kati ya hio biashara ya kuuza simu used na hio nyingine ya kuchukua mbao kutoka Tabora kama ulivyosema naona ya kuuza simu itakua poa zaidi unaweka na usb etc.
hiyo ya kuuza pa......pu....chi itakufaa zaidi maana wewe mnato
 
hiyo ya kuuza pa......pu....chi itakufaa zaidi maana wewe mnato
Kama hujui tofauti ya neno MNG'ATO Vs MNATO,huoni kama unastahili kuja kunyonya dudu la yuyu mpk umwagiwe na gundi kama bonus dada.
 
Kuna uwekezaji nimetamani kuufanya,, najua nikiufanya naweza kuambulia chochote kinywani

Natarajia kuwekeza kama 1.7 MIL.. Na nikifanikiwa kuna uwezekano nikapata pesa nyingi hapo baadae yaani baada ya miezi 2\3

Marafiki zangu wengi wananishauri nisilifanye jambo ninalo lifikiria bali wananielekeza njia nyingine ambayo mimi naiona ni gumu Sana na naiona ni hatari kwenye uchumi na maisha yangu

Jambo ninalotaka kulifanya ni aina ya biashara ambayo hata wao wanaifanya na nawashuudia wana maisha mazuri kuliko mimi

Lakini wananiambia nisifanye kama wanavyofanya wao kwani na wao wanatafuta njia ya kujiboreshea biashara hiyo

Jamani Naona kama wananipotezea mda tuu kunipa ushauri wao,, ingawa ni 90% wananikataza

Swali ni kwamba mbona wao bado wanafanya na wana maisha mazuri kuliko mimi, ,,kwanini wananielekeza njia ambayo naiona ni hatari kwenye uchumi Wangu..

nataka niwapotezee hawa watu jamani,, nisimame na msimamo Wangu mnanishauri nini?
Ili mradi tu na wewe upost uzi wako humu
 
mkuu unapokuja kuomba ushauri kwa watu ka kweli unamaanisha katika ulichokileta eleza vizuri watu waelewe utapata watu wakukusaidi ana kukupa mwongozo mzuri ila ukileta uzi kihuni utapata ushauri kihuni, so nextime jitahidi ulete uzi vzuri maana mtu hajui akushauri nini.
 
Back
Top Bottom