Biashara yenyewe umeificha ni vigumu kupata ushauri mzuri, funguka aina ya biashara na mazingira ya kuifanyia uchangiwe mawazo.Kuna uwekezaji nimetamani kuufanya,, najua nikiufanya naweza kuambulia chochote kinywani
Natarajia kuwekeza kama 1.7 MIL.. Na nikifanikiwa kuna uwezekano nikapata pesa nyingi hapo baadae yaani baada ya miezi 2\3
Marafiki zangu wengi wananishauri nisilifanye jambo ninalo lifikiria bali wananielekeza njia nyingine ambayo mimi naiona ni gumu Sana na naiona ni hatari kwenye uchumi na maisha yangu
Jambo ninalotaka kulifanya ni aina ya biashara ambayo hata wao wanaifanya na nawashuudia wana maisha mazuri kuliko mimi
Lakini wananiambia nisifanye kama wanavyofanya wao kwani na wao wanatafuta njia ya kujiboreshea biashara hiyo
Jamani Naona kama wananipotezea mda tuu kunipa ushauri wao,, ingawa ni 90% wananikataza
Swali ni kwamba mbona wao bado wanafanya na wana maisha mazuri kuliko mimi, ,,kwanini wananielekeza njia ambayo naiona ni hatari kwenye uchumi Wangu..
nataka niwapotezee hawa watu jamani,, nisimame na msimamo Wangu mnanishauri nini?
hiyo ya kuuza pa......pu....chi itakufaa zaidi maana wewe mnatoIfanye tu mkuu,kati ya hio biashara ya kuuza simu used na hio nyingine ya kuchukua mbao kutoka Tabora kama ulivyosema naona ya kuuza simu itakua poa zaidi unaweka na usb etc.
Kama hujui tofauti ya neno MNG'ATO Vs MNATO,huoni kama unastahili kuja kunyonya dudu la yuyu mpk umwagiwe na gundi kama bonus dada.hiyo ya kuuza pa......pu....chi itakufaa zaidi maana wewe mnato
ukisikia pahaaaaaaaaKama hujui tofauti ya neno MNG'ATO Vs MNATO,huoni kama unastahili kuja kunyonya dudu la yuyu mpk umwagiwe na gundi kama bonus dada.
ukisikia pahaaaaaaaa
Ili mradi tu na wewe upost uzi wako humuKuna uwekezaji nimetamani kuufanya,, najua nikiufanya naweza kuambulia chochote kinywani
Natarajia kuwekeza kama 1.7 MIL.. Na nikifanikiwa kuna uwezekano nikapata pesa nyingi hapo baadae yaani baada ya miezi 2\3
Marafiki zangu wengi wananishauri nisilifanye jambo ninalo lifikiria bali wananielekeza njia nyingine ambayo mimi naiona ni gumu Sana na naiona ni hatari kwenye uchumi na maisha yangu
Jambo ninalotaka kulifanya ni aina ya biashara ambayo hata wao wanaifanya na nawashuudia wana maisha mazuri kuliko mimi
Lakini wananiambia nisifanye kama wanavyofanya wao kwani na wao wanatafuta njia ya kujiboreshea biashara hiyo
Jamani Naona kama wananipotezea mda tuu kunipa ushauri wao,, ingawa ni 90% wananikataza
Swali ni kwamba mbona wao bado wanafanya na wana maisha mazuri kuliko mimi, ,,kwanini wananielekeza njia ambayo naiona ni hatari kwenye uchumi Wangu..
nataka niwapotezee hawa watu jamani,, nisimame na msimamo Wangu mnanishauri nini?
Mbona hio biashara inafichwa fichwa