Nataka kujivua gamba ila.......................

Nataka kujivua gamba ila.......................

Hayo ndo matokeo ya kupenda kabla ya kuchunguza tabia. Mkiambiwa kuchunguza tabia kwanza mnasema, ooh, anakata viunu sana kitandani mwanawane.
Sikinde waliimba, 'mwanetu kaza moyo uishi na mkeo, ni wewe mwenyewe uliyempenda.'
 
Pole excellent. Labda ungejaribiu kuepuka yale yanayompelekea kuchongoa mdomo sana. Kwa mfano ukirudi nyumbani straight from work mapemaa! Atachonga juu ya nini?
unaweza kuamini hata ndani ya nyumba yangu natumia headphones?
 
Hayo ndo matokeo ya kupenda kabla ya kuchunguza tabia. Mkiambiwa kuchunguza tabia kwanza mnasema hayo tutaona huko mbele kwa mbele.
Sikinde waliimba, 'mwanetu kaza moyo uishi na mkeo, ni wewe mwenyewe uliyempenda.'
mkuu hapa ni sawa natembea peku peku kwenye kaa la moto
 
hahahahahahahaha! Aliyesema kloro mzima anahitaji vidonge vya asprin.
Umeanza kumwaga yale mapwenti yako lol, tuka update nini? lol
hehehe na hii ndio itakuwa paswedi yangu kwako siku hizi
 
Umeanza kumwaga yale mapwenti yako lol, tuka update nini? lol
hehehe na hii ndio itakuwa paswedi yangu kwako siku hizi

kloro mi staki ujue? Mbona hivyo lakini. Ukiharibu ujue una kazi nzito ya kusawazisha. Lol.
 
tena mke bora coz kipaji chake cha kuimba taarab na mashauzi kwa mumewe umekipatia tiba mbadala..
aendelee kama mke,na aimbe taarabu kwa vile ana kipaji halafu mme wake awe excellent,lol
 
Akiimba taarab Wewe muimbie hiphop.Akiongelea puani wewe ongelea kooni(sauti ya nne). Akikutingishia masaburi mtingishie rungu kwenye masaburi yake. Kila tabia ya kike anayofanya wewe ijibu kwa kufanya ya kiume zaidi..mwenyewe atakuwa anakupigia simu urudi nyumbani haraka usome gazeti
 
kloro mi staki ujue? Mbona hivyo lakini. Ukiharibu ujue una kazi nzito ya kusawazisha. Lol.
lol dah! nimecheka kwa laudi speaker aisee. out of my control I feeel like saying I ............. ,
 
Akiimba taarab Wewe muimbie hiphop.Akiongelea puani wewe ongelea kooni(sauti ya nne). Akikutingishia masaburi mtingishie rungu kwenye masaburi yake. Kila tabia ya kike anayofanya wewe ijibu kwa kufanya ya kiume zaidi..mwenyewe atakuwa anakupigia simu urudi nyumbani haraka usome gazeti

hahahahahahahaha! Lol.
 
Akiimba taarab Wewe muimbie hiphop.Akiongelea puani wewe ongelea kooni(sauti ya nne). Akikutingishia masaburi mtingishie rungu kwenye masaburi yake. Kila tabia ya kike anayofanya wewe ijibu kwa kufanya ya kiume zaidi..mwenyewe atakuwa anakupigia simu urudi nyumbani haraka usome gazeti
teh teh teh teh hiyo kali,najua kwa mtindo huo hata nikimwacha nikaenda kazini lazima atanimiss
 
Back
Top Bottom