Nataka kujua bei ya kiwanja cha 19 kwa 21

Nataka kujua bei ya kiwanja cha 19 kwa 21

Isaack Newton

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
594
Reaction score
291
Habari wakuu, nina kiwanja changu maeneo ya tegeta kituo cha polisi, kina ukubwa wa 19 kwa 21. Hakijakaa square, kipo flat na hakijai maji.

Kipo karibu na shule ya msingi na kituo cha polisi Tegeta. Gari inafika vizuri. Kutoka barabari ni dakika 5 kwa kutembea kwa miguu.

Sasa nataka nikiuze, kwa wale wenzetu wenye utaalamu na mambo ya upimaji na uuzaji wa viwanja, hiki kiwanja kinaweza kikauzika kwa bei gani? Hakijapimwa bado.
 
Habari wakuu, nina kiwanja changu maeneo ya tegeta kituo cha polisi, kina ukubwa wa 19 kwa 21. Hakijakaa square, kipo flat na hakijai maji.

Kipo karibu na shule ya msingi na kituo cha polisi Tegeta. Gari inafika vizuri. Kutoka barabari ni dakika 5 kwa kutembea kwa miguu.

Sasa nataka nikiuze, kwa wale wenzetu wenye utaalamu na mambo ya upimaji na uuzaji wa viwanja, hiki kiwanja kinaweza kikauzika kwa bei gani? Hakijapimwa bado.
Tufanye top up
 
Habari wakuu, nina kiwanja changu maeneo ya tegeta kituo cha polisi, kina ukubwa wa 19 kwa 21. Hakijakaa square, kipo flat na hakijai maji.

Kipo karibu na shule ya msingi na kituo cha polisi Tegeta. Gari inafika vizuri. Kutoka barabari ni dakika 5 kwa kutembea kwa miguu.

Sasa nataka nikiuze, kwa wale wenzetu wenye utaalamu na mambo ya upimaji na uuzaji wa viwanja, hiki kiwanja kinaweza kikauzika kwa bei gani? Hakijapimwa bado.
Ukubwa wa 19 x 21..hata hilo limekushinda?! ngoja madalali waje wakutapeli
 
Back
Top Bottom