Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Yeah ni kachaga flani hivi sema kapo poa sana sio kama wachaga wengine kwa kitandani.Hahaha sidhani kama ni "waiii" ila nahisi ni ile mtu akisema "woiiii"
Mambo ya r chuga hayo😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ni kachaga flani hivi sema kapo poa sana sio kama wachaga wengine kwa kitandani.Hahaha sidhani kama ni "waiii" ila nahisi ni ile mtu akisema "woiiii"
Mambo ya r chuga hayo😂
😅😅Amani iwe juu yenu..
Naomba kufahamu hili neno "eti" huwa linamaansha nn zaid ktk sentensi kama linavyotumka na baadhi ya wanawake,hususani mkiwa mnachati...
Mfano:-
- nimekumic eti
-sijala eti
-nimechoka eti
-siji eti
Eti,eti,eti ndo nn huwa nahisi kama dharau hv..
Nawasilisha tu..