Nataka kujua kwanini wanawake wembamba hawajifungi kanga?

Waambie kanga yake mwembamba wa wastani, Mimi haikutani kabisa nafunga matenge kanga najitanda nini sasa hiyo

Naima utakua kibonge[emoji3]khanga haikutani,,kumbe mm bado bado kunenepa maana khanga nafunga vzr kabisaa,,,niendelee kula chomachomaaa
 
Wakifunga wanazungusha mara mbili kiunoni sasa yale maandishi yanakua hayasomeki
 
Mwembamba akijifunga khanga, inakua kama kajifunga msuli
 
Itakuwa unapokaa hawajifungi,huku kwetu sio mnene wala mwembamba wote tunavaa kanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…