Barua kutoka bangui
Member
- Oct 28, 2020
- 6
- 4
Jamani nataka kujua ni jinsi gan ya kutengeneza pilipili kama zile wanazotumia wauza chipsi wa Dar es Salaam na zinakaa kwa muda gani, nimeuliza sana ila sijapata jibu naamini leo nitapata majibu humu JF.
Karibuni kwa maujuzi.
Karibuni kwa maujuzi.