Nataka kujua nini maana ya hili jina Tukinao

Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.

Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
 
Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.

Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Mhhh
 
Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.

Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Aaah kumbe..
 
Watu wana chuki sana jamani,hivi miaka 37 ni bibi?Au basi tu wametafuta kasoro wakakosa?Hao Team Hamisa na Wema hawana kazi ya kufanya.Wacha waendelee kumtukana ila wajue na wao umri hausimami na wakati haurudi.
Hivi tukiwapanga hapa Zari,Wema,Mange,Lulu,Hamisa.
Kati ya hao kama hatuto wauliza umri nani anatakiwa kuitwa bibi?
 
Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.

Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Heeeehh kumbe afadhali nimejifunza leo
 
Wanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji124]
 
Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.

Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Hahhaaaaaaaaaaaa bhasi nami mke wangu nitaanza kumuita Tukinao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…