kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Nasikia mara kwa mara Zari the boss lady akiitwa Tukinao na team pinzani so nataka kujua lina maana gani na ni nani alilianzisha maana kama linazidi kuwa viral hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimegugo lakin sijaambulia chochote....
MhhhTukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.
Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Aaah kumbe..Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.
Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] basi nimepta mwangaVeronica mpangala aka Bi tukinao Ndo alikua mshindi kwenye shindano la bibi bomba,,zari wanamuita bibi bomba au Bi tukinao
Ohooooo!!!Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.
Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Hivi tukiwapanga hapa Zari,Wema,Mange,Lulu,Hamisa.Watu wana chuki sana jamani,hivi miaka 37 ni bibi?Au basi tu wametafuta kasoro wakakosa?Hao Team Hamisa na Wema hawana kazi ya kufanya.Wacha waendelee kumtukana ila wajue na wao umri hausimami na wakati haurudi.
Heeeehh kumbe afadhali nimejifunza leoTukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.
Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji124]Wanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
Ubibi utaanza in this order..Mange,Wema,Zari,Hamisa Then Lulu.Hivi tukiwapanga hapa Zari,Wema,Mange,Lulu,Hamisa.
Kati ya hao kama hatuto wauliza umri nani anatakiwa kuitwa bibi?
Hahhaaaaaaaaaaaa bhasi nami mke wangu nitaanza kumuita TukinaoTukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.
Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Ingawa Polepole wote tunajua kuwa ni kijana mdogo. Ndiyo maana daktari anapokuona information ya kwanza anahitaji jina na umriWanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee