Duh!Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.
Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Mtoe hamisa na lulu hapoHivi tukiwapanga hapa Zari,Wema,Mange,Lulu,Hamisa.
Kati ya hao kama hatuto wauliza umri nani anatakiwa kuitwa bibi?
Unajuaje ni kijana? Mi huwa sielewi sura yake haieleweki ni kijana au mzeeIngawa Polepole wote tunajua kuwa ni kijana mdogo. Ndiyo maana daktari anapokuona information ya kwanza anahitaji jina na umri
Umri wakeUnajuaje ni kijana? Mi huwa sielewi sura yake haieleweki ni kijana au mzee
Hawaoni kasoro kwake so inabidi tu wamuite mzee, mi sijawahi kumuona mzee mwenye 30sSisi binadamu ni watu wa ajabu sana..unamshupalia mtu kuwa mzee/bibi kama yeye hatozeeka
Kuwa mzee ni dhambi?kosa?
Ana umri ganiUmri wake
Ninauhakika hajafikia retirement age badoAna umri gani
Huwezi kuwa kijana kama una mawazo ya kizee, na vile vile huwezi kuwa Mzee kama una mawazo ya kijana[emoji4]Ingawa Polepole wote tunajua kuwa ni kijana mdogo. Ndiyo maana daktari anapokuona information ya kwanza anahitaji jina na umri
Duh madame! Maana yake hata le mutuz ni kijana make hajafikia retirement age japo yupo 50sNinauhakika hajafikia retirement age bado
Pia katika shindano hilo,kuna bibi wa kimakonde alikuwa maarufuvkwa jina hili Tukinao.Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.
Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
ππ Big brother age mates wake ni Pinda na Kikwete ambao wote ni wastaafuDuh madame! Maana yake hata le mutuz ni kijana make hajafikia retirement age japo yupo 50s
Kwahiyo Big brother Le Mutuz ni teenager?Huwezi kuwa kijana kama una mawazo ya kizee, na vile vile huwezi kuwa Mzee kama una mawazo ya kijana[emoji4]
kiUbibi utaanza in this order..Mange,Wema,Zari,Hamisa Then Lulu.
Sisi binadamu ni watu wa ajabu sana..unamshupalia mtu kuwa mzee/bibi kama yeye hatozeeka
Kuwa mzee ni dhambi?kosa?
Aigoo π±Na mimi leo nimejua nlikuwa najiuliza pia
ππππππ Big brother age mates wake ni Pinda na Kikwete ambao wote ni wastaafu