TukinaoZari
Anataka kuwalinganisha kina hamisa na uyo bibi zariTukinao
chek mtoto m bichi kabisa sura nzuri ka skeletonkwendraaaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] jamani[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] basi nimepta mwanga
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] zari anawazaa kina hamisa huku anagombea daladala za gomsAnataka kuwalinganisha kina hamisa na uyo bibi zari
Umbea kama chakula unauachaje labda 😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we mwanamke kwanini unanirudisha kwenye umbea wakati nishaga acha? Comment yako imenivunja mbavu sana hapo kwa polepole. Aiiiii Mungu nisamehe. Nimemvutia picha nimecheka hadi machozi
Tena kuna zile skeletoni za kule US zimeshupalia hilo jina kwelikweli...wakati ukizisimamisha kule biology lab Students hata hamjui hilo skeletoni ni la bibi au babu.
Na maajabu ya dunia hii, Mange Kimambi ambae nae anacheza humo humo lakini na yeye anamuita mwenzake kibibi!!Watu wana chuki sana jamani,hivi miaka 37 ni bibi?Au basi tu wametafuta kasoro wakakosa?Hao Team Hamisa na Wema hawana kazi ya kufanya.Wacha waendelee kumtukana ila wajue na wao umri hausimami na wakati haurudi.
Mange aneshajubaku kuwa yeye ni Tukinao wala hagombei bwana na vi 20's
Hakuna mzee mwenye 30sMange aneshajubaku kuwa yeye ni Tukinao wala hagombei bwana na vi 20's
[emoji3] [emoji3] [emoji3] bora useme weweWanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
[emoji3] [emoji3] [emoji3] bora useme wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] zari anawazaa kina hamisa huku anagombea daladala za goms
HahaHivi tukiwapanga hapa Zari,Wema,Mange,Lulu,Hamisa.
Kati ya hao kama hatuto wauliza umri nani anatakiwa kuitwa bibi?
Hahaha bi tukinao noma kweli...
Hiii video imenifurahisha haha