Nataka kujua nini maana ya hili jina Tukinao

Nataka kujua nini maana ya hili jina Tukinao

Tena kuna zile skeletoni za kule US zimeshupalia hilo jina kwelikweli...wakati ukizisimamisha kule biology lab Students hata hamjui hilo skeletoni ni la bibi au babu.
IMG_5527.jpg
16465435_596396503888606_4314558913874755584_n.jpg


Sijui kati ya hawa wawili tukinao ni nani
 
Watu wana chuki sana jamani,hivi miaka 37 ni bibi?Au basi tu wametafuta kasoro wakakosa?Hao Team Hamisa na Wema hawana kazi ya kufanya.Wacha waendelee kumtukana ila wajue na wao umri hausimami na wakati haurudi.
Na maajabu ya dunia hii, Mange Kimambi ambae nae anacheza humo humo lakini na yeye anamuita mwenzake kibibi!!
 
Back
Top Bottom