Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
What? (Ya kikorea)Aigoo 😱
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What? (Ya kikorea)Aigoo 😱
Ahahaha ungesema (whee) ndio whatWhat? (Ya kikorea)
Mbona anahudhuria School bash ?Kwahiyo Big brother Le Mutuz ni teenager?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimejikuta naangua kicheko yaani umepatia mpaka basi mimi maneno yao nna confidence kuyatamka ila sio kuandikaAhahaha ungesema (whee) ndio what
Dah! Big brother Le Mutuz ni undefined[emoji16] [emoji12]Kwahiyo Big brother Le Mutuz ni teenager?
Korean drama hazijawahi kuniacha salama mkuu..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimejikuta naangua kicheko yaani umepatia mpaka basi mimi maneno yao nna confidence kuyatamka ila sio kuandika
duh! ni mzeeKwahiyo Big brother Le Mutuz ni teenager?
Same hereKorean drama hazijawahi kuniacha salama mkuu..
Have a good day then...Same here
Same to youHave a good day then...
et bana em chek alvo kigoli [emoji42][emoji42]Wanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
Tukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.
Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Kwani uzee ni kasoro.?Hawaoni kasoro kwake so inabidi tu wamuite mzee, mi sijawahi kumuona mzee mwenye 30s
Wema kanasa kwenye miaka 26,haongezeki
Umerusha jiwe gizani!!!Wanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
Billy umeongea bonge la point hii yoote ni wivu wa maendeleo ndo.mana kutwa kumtukana mdada wa watu,si wapambane kwanza wanavyomshusha wanamfanya kila siku afanye kitu tofauti na wao na hivyo kuendelea zaidi na zaidi na wao kubaki walipoKuwa mzee siyo dhambi wala kosa, ila kutuzidi kipato, uzuri na nk ndo kosa.
Kwa hiyo tutatafuta cha kukutukania.
DUUUUH WE NOMATukinao ni neno alilokuwa anapenda kulitamka Veronica Mpangala kwenye shindano la Bibi Bomba (Clouds). Nadhani lina maana kwa wenyeji kama sikosei kutoka Ruvuma.
Zari kuitwa Tukinao/bibi bomba ni kwamba anafananishwa na ajuza.
Billy umeongea bonge la point hii yoote ni wivu wa maendeleo ndo.mana kutwa kumtukana mdada wa watu,si wapambane kwanza wanavyomshusha wanamfanya kila siku afanye kitu tofauti na wao na hivyo kuendelea zaidi na zaidi na wao kubaki walipo
Hata kama ni mzee kweli kama wanavyodai..sisi wote tutapitia huko kama tukifikaHawaoni kasoro kwake so inabidi tu wamuite mzee, mi sijawahi kumuona mzee mwenye 30s