Nataka kujua wajibu na haki za polisi

Nataka kujua wajibu na haki za polisi

issa mweusi

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
1,477
Reaction score
1,138
Kuna suala linaendelea DRC cha kushangaza polisi wanawatawanya wananchi wakati katiba inavunjwa na mtawala kwamaana hiyo polisi ni wajibu wao ni kwa watawala tu?
 
Kuna suala linaendelea DRC cha kushangaza polisi wanawatawanya wananchi wakati katiba inavunjwa na mtawala kwamaana hiyo polisi ni wajibu wao ni kwa watawala tu?
Inabidi tupeleke maombi kwa trump ya kutawaliwa tena yale mawazo yake yasiishie tu kwenye kauli
 
Kuna suala linaendelea DRC cha kushangaza polisi wanawatawanya wananchi wakati katiba inavunjwa na mtawala kwamaana hiyo polisi ni wajibu wao ni kwa watawala tu?
Soma kijarida hiki utaokoteza kidogo angalau. Sijakisoma lakini seems you can make sense out of it! Give feedback please
 

Attachments

Back
Top Bottom