Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kulia akupigekama mtu akitukana/akinitukana na nikimpeleka mahakamani......kifungo chake ni miaka mingapi au faini yake nish.ngapi?
Vipi.... umetukana mtu nini...!!Kama mtu akitukana/akinitukana na nikimpeleka mahakamani......kifungo chake ni miaka mingapi au faini yake nish.ngapi?
Kama mtu akitukana/akinitukana na nikimpeleka mahakamani......kifungo chake ni miaka mingapi au faini yake nish.ngapi?[/QU
Ni kipi au condition zipi kwamba mtu anatozwa faini peke yake au kifungo pekeyake au vyote viwili kwenye makosa kama haya ya kutukana,,kupigana au kumzalilisha mtu?