Nataka kukopa Shilingi milioni 5 nianze biashara

Umenifikirisha sana mkuu, ngoja niwaze na kuwazua tena vzur nione nafanyaje.

Shukran kwa ushaur mzur
 
Amina kaka
 
Tatizo ni mda wa ziada unakuwa mdgo sana, j3 kazn saa moja asbh mpaka saa kumi jioni ukitoka umechoka, jmos usaf, jpil kuabudu ko mda tunakuwa hatunaa
waalimu mna matatizo gani nyie kila mtu anaweza kuwageuza chambo...elimu Elimu
 
Biashara ya duka kidgo nimeona inavofanya kazi japo kwel wafanyakaz wanafaidi kuliko mabos wao
 
Aliyesema hivi ndio ana roho mbaya 'Biashara Ya Mahitaji Ya Majumbani Ni Za Kizamani Na Hazina Mwendeldzo Na Hazifai Kabisa Kwa Kijana Anaefikiria Kwa Karne Ya 21'................
By the way sio watanzania wote ni masikini wa kutupa.
Sawa Mangi
 
Una Akili Ndogo Sana. Nakupuuza
 
Ni miaka 2 na nusu ijayo, sio 5
 
Milioni 5 ikiwa invested
Baada ya miezi mitatu Faida inaingia si chini ya Milioni 1
Inapofikia miezi mitano ya biashara toka ianze tutakuwa tumelipa full installment ya mkopo mzima
miezi saba inayofuatia utakuwa umepata faida umekula 15mil in you hands

baada ya hiyo miezi 12 ya biashara tunavunja mkataba unaendelea na shuguli zako na mambo yako nasisi tunaendelea na mambo yetu
tunaingia mkataba kisheria
project ni uhakika zaidi ya 98% na hizo 2% ni vikwazo vichache vinaweza kujitokeza kuifanya ikadelay kidogo


Pia badala ya kununua bodaboda na kufungua duka
nakushauri fungua huduma zakipesa tu
weka hela yote hapo
tigo pesa, mpesa na airtelmoney
biashara hizi ukiwa sehemu nzuri laini zote kwa pamoja baada ya miezi mitatu ya mwanzo unakuwa na uwezo wa kukunja laki 7 hadi 1mil as profit kila mwezi

sikushauri duka na bodaboda sababu ni biashara zisizokuwa na misingi imara i mean zikigoma zimegoma mazima haziwezi kujishikilia na ni vigumu kusave mtaji
ila kwa biashara ya pesa ikigoma still pesa yako ipo pale pale
risk management ya mtaji wako iko safe zaidi katika iashara ya hizo huduma za kifedha kuliko bodaboda na duka
 
Aliyesema hivi ndio ana roho mbaya 'Biashara Ya Mahitaji Ya Majumbani Ni Za Kizamani Na Hazina Mwendeldzo Na Hazifai Kabisa Kwa Kijana Anaefikiria Kwa Karne Ya 21'................

By the way sio watanzania wote ni masikini wa kutupa.
Nakubaliana naye aliyesema hivyo, mwenye mawazo ya kimkakati kweli hafanyi biashara ya Duka la mahitaji ya nyumbani...Biashara niile inayo Scale na kukua binafsi hakuna biashara nitakuja ifanya kama hii ya duka.
 
waalimu mna matatizo gani nyie kila mtu anaweza kuwageuza chambo...elimu Elimu
Mimi Nashangaa Sana Mbongo Wewe Mwambie Utakuwa Tajiri Kesho, Jiunge Aim Global, Forever Living, Forex, GreenWorld Au Qnet Utayakamata Kibao.

Ila Wape Biashara Halali, Hapo Kila Mtu Atajifanya Ni Gwiji Wa Kukwepa Utapeli Na Mjanja Kama Sungura.

Tumerogwa Siyo Bure
 
Kwani alipo mtapeli wapi mwenzio anatumia fursa aliyoiyona kwani sikuzote “Aliye na wazo zuri na muda hana pesa ila ambaye hana muda ndio anayopesa” sasa hawa watu wawili wakishirikiana wanafanya kitu wewe ambaye hujui kutumia fursa usiwakatishe tamaa wenzio wanaojua nini wanafanya...jamaa amesema akawekeze kwenye Biashara yake sasa shida ipo wapi hapo.
 
Mjini shule watu wametajiwa hela mishipa imesimama
 
Dunia Kote Ukiwa Na Hisa Kwenye Kampuni, Ikipata Hasara Na Wewe Unapata - Ikipata Faida Na Wewe Unapata. Ndivyo Ilivyo.

Mtu Anaekwambia Eti Ukiwekeza Utapata Faida Tupu Ni Tapeli, Labda Kwenye Fixed Deposits Za Bank !
 
Poor Mentality a.k. Low thinking capacity
Skuizi watu ni Kukopy biashara tu kuanzisha zao hawataki kabisa
Kuanzisha Biashara mpya kwani mahitaji ya binadamu wamebadilika kama sikuhizi binadamu wanalala juu ya miti kweli tunahitaji idea mpya ya kutengeneza miti nyumba, kama binadamu sikuhizi wanakula funza tutahitaji idea mpya ya kuzalisha funza...Kama mahitaji ni yaleyale kipya kinahitajikaje.

Huitaji idea mpya kutengeneza pesa EBay, Alibaba, Instagram, Alexpress, Kikuu, Jamiiforums, Clouds, Wasafitv, Infinix zote sio idea mpya ila zinatengeneza milioni ya pesa.

IDIOT
 
Mhh! Mbona hawa NMB wana makato makubwa hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…