festomuungwana
Member
- Oct 18, 2013
- 12
- 2
Mimi ni mfanya biashara mdogo nina miliki duka dogo naitaji kupata uzoefu wa kibiashara kutokana na kwamba sio mzoefu sana katka biashara embu wataalamu hapa mnipe mbinu za kukua kibiashara but sitaki shortcut mbinu na njia halali zitanifaa zaidi
naomba kuwakilisha mada
naomba kuwakilisha mada