Nataka kulima Karanga na muhugo sehemu gani nzuri kwa mazao haya iwe ndani ya mkoa wa Mwanza?

Nataka kulima Karanga na muhugo sehemu gani nzuri kwa mazao haya iwe ndani ya mkoa wa Mwanza?

Kaka mwisho

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
407
Reaction score
178
Wadau wa Kilimo na wenyeji wa kanda ya ziwa Mwanza n.k.

Nataka kulima Karanga na muhugo sehemu gani nzuri kwa mazao haya iwe ndani ya mkoa wa Mwanza au jirani na mkoa wa Mwanza.

Pia sehemu ambayo taweza kulima mahindi angalau mara mbili kwa msimu mmoja.
 
Kuna hekari kumi zinauzwa mkoa wa tabora kaliua vijijini
 
Back
Top Bottom