The law of karma states that...."..."
Tatizo halipo Kwa mke wako. Tatizo ni wewe mwenyewe
Kuwa siriaz mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu nisamehe Sana sio kwamba nilikudharau lakini mkeo alikuwa ananitaka mwenyew napili mkeo nimtamu Sana ndo maana nlishindwa kujizuia, naomba tuyamalize haya mambo njoo PM tuyajenge mkuu... Lakin mkeo mtamuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Video ni silaha ya pili nauhakika huyo kigogo hatopenda kuonekana katika video mtandaoni.
Akifanya anachojisikia, atarajie kisicho tarajiwa.Fanya unacho jisikia wewe kufanya. Binafsi siwezi kukwambia umfanyie nini maana maumivu ya kugongewa mke unayo wewe, hivyo hasira zako ndio muongozo wako kwa sasa na sio ushauri tena
Ur a poor judge of character. Why did u marry her at the first place?Watu bwana,kabla sijakupinga hebu fafanua kidogo mkuu.
Nimekuelewa but that is one side of the coin,people change mkuu,and a woman is built to change according to what she wants at a certain time..unaweza kua ulimuoa akiwa saci kabisa,then akaanza kubadilika kutokana na matabia alizoanza kujifunza baada ya kuwa nawewe ndoani.Ur a poor judge of character. Why did u marry her at the first place?
In a relationship a man has to determine the end from the beginning.
U were recklessly and negligently
😂🤣 Wewe nawe umezidi ufukunyuzi khaa.Ilikuwa lazima uje na ID mpya kwa jambo hili? Usikute kwenye ID yako ya siku zote unajifanya uko happily married, you got the perfect marriage ever
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji14][emoji14][emoji23][emoji1787] Wewe nawe umezidi ufukunyuzi khaa.