Nataka kulipiza kisasi

Nataka kulipiza kisasi

Kuna jamaa fulani dereva wa bodaboda alikuwa kwenye situation kama hii. Mwenye mali alimuonya kama mara mbili hivi kuwa stop what you're doing with my wife, unaharibu familia yangu. Jamaa kagoma kuwa hahusiki kumtafuna mke wa jamaa. Siku moja akafumaniwa hivi akila vya watu, jamaa mwenye mke hakuwa na papara, alikaa kimya tu.

Baada ya mwezi alikutwa huko matosa vichakani ameharibiwa nyuma, amechafuka nguo zimejaa mavi. Alihama na naamini kaharibikiwa hata saikolojia yake.
 
Me naona aundiwe tume umsukume tope we na washikaji wako
 
Ukishalipiza kisasi then, what next? Akikushinda inakuwaje? Upo tayari kufungwa? Kufa je, ipo tayari? Kabla hujafanya, calculate faida na hasara za kufanya hivyo...

Am ready for anything as long as mission successful.
 
Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi tokewa na jambo kama lako, alichokifanya ni kutembea na yeye na mke wa yule jamaa alie tembea na mke wake na wote walikuwa na watoto, mpaka sasa wake zao wote kwa pamoja walisha rudi makwao wamewaachia waume zao watoto maana ilikuwa ni aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili pia nililiwaza.
 
Am ready for anything as long as mission successful.
Ahahahahahaa the fact that you DONT KNOW the outcome of what you think you are ready of, UNAENDA TU BLINDLY... unataka tu utimize haja ya moyo wako... KUNA KUSHINDWA
 
mkuu, kama una hela usiumize sana kichwa chako juu ya kisasi " tafuta wahuni, waachie hyo kazi, hakikisha anafanywa alichofanywa mkeo, au zaidi. kua makini isije ikatokea backlash maana utaishia jela au kuingiwa cost kubwa zaidi. plan inatakiwa iwe discreet na makini

mwisho kabisa ukishampopoa huyo mpuuzi mchukue na clip ili iwe fundisho jema kwa wengine.
Good idea
 
Kama ana mke mtafune na yeye aone uchungu wa kula mke wa mtu. Hii ndiyo best option ndugu. Ukisema utafute watu wampige au kumlawiti utafia jela maana ulawiti adhabu yake ni miaka 30 sasa ukijumlisha miaka yako utafia gerezani. Mimi siwezi kufia gerezani kisa nimemkuta mke wangu anagongwq, nitakachokifanya nikutembea na mke wa jamaa. Sichukii wala simtumii picha jamaa, kiufupi mke wake namfanya nyumba ndogo (mke wangu)
Hili pia nililiwaza.
 
Chunguza kwa makini mkuu, kama mkeo ulimioa hana bikra basi huenda huyo mwamba ndo alimtoa ubikra mkeo, so kwa mantiki hiyo wewe ndo uliingilia mke wa mshikaji, why umuonye mwanzo na badao amekomaa na mkeo had kamla, kuna shda mahala.

Usichukue uamzi mbaya utakaogharimu maisha ya watoto wako, we piga taraka huyo mkeo ili aende wakaoane salama na huyo aliyemuona wa maana kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chukua muda kupumzisha hisia... Wewe si wa kwanza kuumizwa na hutakuwa wa mwisho... Epuka maamuzi ya taharuki... Hutajuta... Ukichukua uamuzi wowote mbaya wakati una hasira utakuja kujuta sana.. Lakini ukitulia na kusubiri vumbi la maumivu litulie utaona mwanga Revenger,

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom