Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Habari wakuu wangu.
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi, ndoto yangu ni kuja kumiliki shule kuanzia chekechea mpaka Form Six. Ni vitabu gani na inspirations zipi naweza kuzipata katika hali ya kujifunza zaidi na kupata maarifa ya hicho kitu kabla sijaingia kwenye field?
Lengo kila siku nisome kitu kipya kuhusu hilo. Wajuzi niambie ni vitabu gani naweza vipata na kuvisoma daily vya kunijenga nifikie mafanikio yangu.
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi, ndoto yangu ni kuja kumiliki shule kuanzia chekechea mpaka Form Six. Ni vitabu gani na inspirations zipi naweza kuzipata katika hali ya kujifunza zaidi na kupata maarifa ya hicho kitu kabla sijaingia kwenye field?
Lengo kila siku nisome kitu kipya kuhusu hilo. Wajuzi niambie ni vitabu gani naweza vipata na kuvisoma daily vya kunijenga nifikie mafanikio yangu.