Tangazo limekaa kimkakati sana hiliNilikua namahusiano na mwanamke ila tulikuja kugombana bila sababu akaanza kunichukia,nilipata tabu sana kile kipindi nikajaribu kuwafuata wana jf wachavhe humu jf wanisaidie hata mawazo ,mmoja akakubali kuniumgajisha na mtu wake yupo huko songea sijui mbinga ,baada ya siku nne akaanza kunitafuta yeye ananilalamikia simtaki, Sasa mapenzi Yamezidi natamani nimkimbie maana hana kazi anasubir nirudi kazini mda wote tuwe wote sex akitaka ni muda huohuo hamna kusubiri daah ,Ssijutii maana nilishindwa move on ila ikizidi inabidi niende hata likizo kwanza nyumbani
Mzigo nimuona uko Vizuri Uko Sealed mzigo na una Vibali Vyoteevijana vp nyie....ebu cheki menu ss wazee tunapakuaa
View attachment 3181813
Lile sakata likoje huko mwaipajani?Shemeji unataka kuni Beatrice Mwaipaja? πΉπΉπΉ
Sis Joannah mumeo anataka kutugombanisha huku tuanze kuchukiana km Mwaipaja Family.. π€£π€£
Imbombo ngafu shem, wale wanyaki wana mnyukano mkali.!!Lile sakata likoje huko mwaipajani?
Kodi ngumu, mm aged kidogo maneno ya ujana ujana nipunguzie nikueleweImbombo ngafu shem, wale wanyaki wana mnyukano mkali.!!
Eti wanasema da Martha anamdid Joan mwanae, anamsaga na kumchuja km blenda la Kenwood ππ€