Nataka kumpeleka polisi huyu Binti kwa kunichuna zaidi ya 7,000,000 kumbe alikuwa anavaa kigodoro

Nataka kumpeleka polisi huyu Binti kwa kunichuna zaidi ya 7,000,000 kumbe alikuwa anavaa kigodoro

Naombeni msaada wa kisheria wakuu kama naweza kumshtaki huyu mwanamke maana mimi tokea naanza kumtokea nilivutiwa na ukubwa wa makalio yake na ndio kitu kilichonifanya hadi nikawa kama ndondocha kila akitakacho nikawa na mpa huku akinizungusha kunipa show.

Nyumba yao mimi ndio nimemalizia lenta hadi bati hebu fikirieni jinsi nilivyochunwa, leo ndio akaja kunipa mzigo lodge moja hapa sinza sasa nashangaa mida ya kuvua kalazimisha taa izimwe nikazima , akavua faster alafu kuna kitu akaficha kwenye pochi yake, ikanibidi niwashe taa faster ile kuwasha tu nikamkuta kapigwa Pasi sio mchezo na kigodoro kakificha kwenye pochi yake

Sasa hapa kuna ugomvi mkubwa nataka nimpeleke polisi nikamshtaki kwa kunidanganya mda wote huo ananichuna kumbe kapigwa pasi

Wakuu inaniuma
Utakuwa nshida Fulani kichwani.
 
Back
Top Bottom