Nataka kumuoa Vanessa Mudeeh

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Aisee natamani kumuoa huyu mdada, maana daah ananipagawisha sana. Nijuzeni mawasiliano yake na taratibu za posa kwa kabila la Wapare. Nimejipanga na nina mvuto najua akiniona tu atanikubali
 
Aise huyu mtoto ni mkari mwenye mawasiliano yake anitumie 0715485691
 
hapa sio mahala pake. mambo ya ndoa yana taratibu zake,
 
mwenye namba ya ruby anirushie..nimempenda usiku wa leo tu..
 
Demu wa mtu yule utageuzwa Martiin Kadiinda bure bw. Joshua
 
Ila kwel mkuu,leo alivyotoka hata mimi nimetokea kumpenda.

Daah! Afu leo kawa mzr.
Kale kaShape Mashallaah
 
Hivi haka kademu nani anakagegeda siku za karibuni.
Nasikia kuna mp mmoja mzee anapumzika pale
 
...mapenzi ya kifacebook eti naomba namba yàke, nyamabafu waoaji hawako ivi ndorrrroooooobo wewe ......
 
Yule mdada kajifunza mpaka kushanag'aa in kithungu Tungu Jana walio angalia waliona ukijifunza kitu ukubwani na malezi ya utotoni yalikuwa tofauti na unacho onyesha sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…