Nataka kumuoa Wema Sepetu, mwenye contact yake au anayeweza kuniunganisha

Nataka kumuoa Wema Sepetu, mwenye contact yake au anayeweza kuniunganisha

Mwenye namba yake ani pm zawadi nono atapata
 
Mie napajua hadi kwa mama yake njoo nikupeleke mkuu wala shaka ondoa aisehh hongera kwa kufanya maamuzi magumu !!!
 
Samahani wanajamvi,

Kweli kweli nimetamani sana naomba kuunganishwa na Wema Sepetu natamani kumuoa. Nasikia amekosa mtoto mi najua nitafanyaje apate mtoto tena akipata hata mapacha.
Mimi nina 29 yrs niko serious, Iam rich enough.

Please niunganisheni naye au yeye kama yuko hapa Jf anijibu.
Sasa wewe unataka kumwoa wema na sisi tutagegeda wapi?wewe gegeda tu...usepe...utuachie tugegede
 
MAAMUZI YA BUSARA MSITIRI ATATULIA NA UTAPATA DHAWABU MBONA YULE WA MENGI ANA WATOTO MAPACHA NA ANA HESHIMA ZAKE KAZA BUTI WIKI IJAYO TUPE MAJIBU
 
Nani kakwambia Wema ana watoto wako unataka uzae nae? Wewe rich enough! Kakwambia anataka tajiri? Mapenzi hayana utajiri. Yuko kwenye tangazo pale anakusubiri kabla hujatuambia!
 
Mkuu kibwenzi hiyo code ni ya bongo ila kifuatacho km no.. ya mwendokasi hivi..
 
This is the kind of love my mum used to warn me about. Man you are in trouble ,big big trouble.Please call 999.
 
Back
Top Bottom