mommythebest
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 516
- 617
Sha ngapi hiyo galaxykwa experience yangu (coz sina product maalum huwa nachange product ya perfume/spray pale tuu inapoisha, over 10 yrs since nimeanza kutumia ), harufu za body spray huwa hazidumu. They only last for two or three hrs, tena nazo ni chache like Royale Blue,Galaxy sIII, Bellagio, Fighting temptation few to mention. Lakini kama unataka kuwa na harufu inayolst longer bora ununue perfumes. Hizi i can guarantee u zinalast up to 24hrs. Kwa sasa ninatumia Galaxy perfume inakaa kwenye nguo hata siku tatu, hata nikiifua nguo na bado inakuwa ina harufu. Harufu yake iko poa sana sio kali ya kuumiza pua.
Kwani mwanzo kabla ya kuuliza hapa JF ulikua unatumia ipi?Habari zenu wana JF Naomba ushauri wenu nataka kununua body spray ya kiume lakin sijui ipi ni nzuri nataka body spray isiyo na harufu kali na inayokaa muda mrefu angalau masaa 7 na kuendelea... Kama waifahamu body spray yoyote yenye sifa hizo na inauzwa bei kuanzia 5000 hadi 10000 naomba nitajie... Asanteni!!!!
Activelle toka oriflame kwa.sh 8500 tuuHabari zenu wana JF Naomba ushauri wenu nataka kununua body spray ya kiume lakin sijui ipi ni nzuri nataka body spray isiyo na harufu kali na inayokaa muda mrefu angalau masaa 7 na kuendelea... Kama waifahamu body spray yoyote yenye sifa hizo na inauzwa bei kuanzia 5000 hadi 10000 naomba nitajie... Asanteni!!!!
Hyo perfume ya galax inauzwa shingap??kwa experience yangu (coz sina product maalum huwa nachange product ya perfume/spray pale tuu inapoisha, over 10 yrs since nimeanza kutumia ), harufu za body spray huwa hazidumu. They only last for two or three hrs, tena nazo ni chache like Royale Blue,Galaxy sIII, Bellagio, Fighting temptation few to mention. Lakini kama unataka kuwa na harufu inayolst longer bora ununue perfumes. Hizi i can guarantee u zinalast up to 24hrs. Kwa sasa ninatumia Galaxy perfume inakaa kwenye nguo hata siku tatu, hata nikiifua nguo na bado inakuwa ina harufu. Harufu yake iko poa sana sio kali ya kuumiza pua.
Nilikuwa natumia active man.. Nataka nibadiliKwani mwanzo kabla ya kuuliza hapa JF ulikua unatumia ipi?
Hakuhusiani.....Mbalinadhani kupulizia body spry hakuusiani na kunuka kwapa, mtoa mada hajasema kama anatafuta dawa ya kunuka kwapa mbona mmeenda mbari
Spray nauzwa elfu 5 au 6, na perfume ina range from 20-30 depending on the shop.Hyo perfume ya galax inauzwa shingap??
Thanxx i will check that..Dolby
Asante...!!Spray nauzwa elfu 5 au 6, na perfume ina range from 20-30 depending on the shop.
My favourite body sprayDolby
Jaribu hii mkuu!