Nataka kununua body spray, ipi itanifaa?

Nataka kununua body spray, ipi itanifaa?

kwa experience yangu (coz sina product maalum huwa nachange product ya perfume/spray pale tuu inapoisha, over 10 yrs since nimeanza kutumia ), harufu za body spray huwa hazidumu. They only last for two or three hrs, tena nazo ni chache like Royale Blue,Galaxy sIII, Bellagio, Fighting temptation few to mention. Lakini kama unataka kuwa na harufu inayolst longer bora ununue perfumes. Hizi i can guarantee u zinalast up to 24hrs. Kwa sasa ninatumia Galaxy perfume inakaa kwenye nguo hata siku tatu, hata nikiifua nguo na bado inakuwa ina harufu. Harufu yake iko poa sana sio kali ya kuumiza pua.
 
kwa experience yangu (coz sina product maalum huwa nachange product ya perfume/spray pale tuu inapoisha, over 10 yrs since nimeanza kutumia ), harufu za body spray huwa hazidumu. They only last for two or three hrs, tena nazo ni chache like Royale Blue,Galaxy sIII, Bellagio, Fighting temptation few to mention. Lakini kama unataka kuwa na harufu inayolst longer bora ununue perfumes. Hizi i can guarantee u zinalast up to 24hrs. Kwa sasa ninatumia Galaxy perfume inakaa kwenye nguo hata siku tatu, hata nikiifua nguo na bado inakuwa ina harufu. Harufu yake iko poa sana sio kali ya kuumiza pua.
Sha ngapi hiyo galaxy
 
Habari zenu wana JF Naomba ushauri wenu nataka kununua body spray ya kiume lakin sijui ipi ni nzuri nataka body spray isiyo na harufu kali na inayokaa muda mrefu angalau masaa 7 na kuendelea... Kama waifahamu body spray yoyote yenye sifa hizo na inauzwa bei kuanzia 5000 hadi 10000 naomba nitajie... Asanteni!!!!
Kwani mwanzo kabla ya kuuliza hapa JF ulikua unatumia ipi?
 
Habari zenu wana JF Naomba ushauri wenu nataka kununua body spray ya kiume lakin sijui ipi ni nzuri nataka body spray isiyo na harufu kali na inayokaa muda mrefu angalau masaa 7 na kuendelea... Kama waifahamu body spray yoyote yenye sifa hizo na inauzwa bei kuanzia 5000 hadi 10000 naomba nitajie... Asanteni!!!!
Activelle toka oriflame kwa.sh 8500 tuu
 
kwa experience yangu (coz sina product maalum huwa nachange product ya perfume/spray pale tuu inapoisha, over 10 yrs since nimeanza kutumia ), harufu za body spray huwa hazidumu. They only last for two or three hrs, tena nazo ni chache like Royale Blue,Galaxy sIII, Bellagio, Fighting temptation few to mention. Lakini kama unataka kuwa na harufu inayolst longer bora ununue perfumes. Hizi i can guarantee u zinalast up to 24hrs. Kwa sasa ninatumia Galaxy perfume inakaa kwenye nguo hata siku tatu, hata nikiifua nguo na bado inakuwa ina harufu. Harufu yake iko poa sana sio kali ya kuumiza pua.
Hyo perfume ya galax inauzwa shingap??
 
My favourite body spray
1457279693216.jpg
 
Back
Top Bottom