Habari zenu humu ndani? Niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi. Nimefikia uamuzi wa kununua gari iliyotumika hapa Bongo. Gari ninayoitaka ni yenye sifa zifuatazo:
Aina ya gari: Toyota harrier (Tako la nyani)
Mileage : Isizidi Kms 100,000
Ukubwa wa Engine: 2.4
Rangi yeyote isipokuwa nyekundu
Namba kuanzia D
Iwe katika hali nzuri kwa ujumla.
Bajeti yangu ni kati ya Milioni 14-15.
Karibuni tuyajenge.
Aina ya gari: Toyota harrier (Tako la nyani)
Mileage : Isizidi Kms 100,000
Ukubwa wa Engine: 2.4
Rangi yeyote isipokuwa nyekundu
Namba kuanzia D
Iwe katika hali nzuri kwa ujumla.
Bajeti yangu ni kati ya Milioni 14-15.
Karibuni tuyajenge.