Nataka kununua gari iliyotumika(Harrier tako la nyaniI)

Nataka kununua gari iliyotumika(Harrier tako la nyaniI)

CLL ipo nicheck whatsup kwa namba 0657 230355 ipo safi km ni 80,000's...
Iko freash haina hiyilafu yoyote ya kiufundi.
Ina Tv 3, Mziki mnene, Leather seats, Kapeti nzuri yaani ndani kama ikulu ndogo..
Ila Bei ni 19 Milioni..
 
Habari zenu humu ndani? Niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi. Nimefikia uamuzi wa kununua gari iliyotumika hapa Bongo. Gari ninayoitaka ni yenye sifa zifuatazo:
Aina ya gari: Toyota harrier (Tako la nyani)
Mileage : Isizidi Kms 100,000
Ukubwa wa Engine: 2.4
Rangi yeyote isipokuwa nyekundu
Namba kuanzia D
Iwe katika hali nzuri kwa ujumla.
Bajeti yangu ni kati ya Milioni 14-15.
Karibuni tuyajenge.
kwanini usitafute yenye tako la mwanamke?[emoji2960]
 
Ahsante sana ninaamini kuwa ukidhi haja ya muhitaji kama nilivyofaidika na ujenzi wakao UBARIKIWE SANA
Asante kwa kutukaribisha ili tuyajenge...

Kwanza kwa hiyo bajeti yako harrier tako la nyani huwezi kupata...labda ukutane na mtu anataka kuuziwa nyumba kwa mikopo ya Bank au aliyekumbwa na matatizo mengine ya kidunia mf kuuguza.

Pili, ni hatari sana kununua gari bongo lenye mileage chini ya 100000...nyingi wamezichakachua kuwavutia wateja coz watu wameshajua kucheza na akili za watanzania..
Fahamu zetu zimetekwa kwenye namba D na mileage chini ya 100k

Tatu, ukinunua tako la nyani kwa bajeti hiyo, nusu ya muda wako wa wiki nzima utautumia garage kuliko kazini au kwa familia yako.

Bajeti hiyo unaweza kupaya Harrier old model namba B au C yenye hali nzuri sana..

Nadhani nimeyajenga kwa kiasi changu.[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom