Nataka kununua gari iliyotumika(Harrier tako la nyaniI)

CLL ipo nicheck whatsup kwa namba 0657 230355 ipo safi km ni 80,000's...
Iko freash haina hiyilafu yoyote ya kiufundi.
Ina Tv 3, Mziki mnene, Leather seats, Kapeti nzuri yaani ndani kama ikulu ndogo..
Ila Bei ni 19 Milioni..
 
kwanini usitafute yenye tako la mwanamke?[emoji2960]
 
Ahsante sana ninaamini kuwa ukidhi haja ya muhitaji kama nilivyofaidika na ujenzi wakao UBARIKIWE SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…