Nataka kununua gari Yard Dar naomba ushauri

mimi sio mtaalamu ila naomba kuuliza tu kuwa kuna hasara ya wanao shusha mileage nikiwa na maana kwa wewe mnunuzi ni madhara gani utapata..
 
mimi sio mtaalamu ila naomba kuuliza tu kuwa kuna hasara ya wanao shusha mileage nikiwa na maana kwa wewe mnunuzi ni madhara gani utapata..
Spare za gari zinatakiwa zibadilishwe kutokana na umbali gari iliotembea mfano water pump, timing belt, etc kwaio ukiwa hauna taarifa hizo unaweza jikuta unaendesha gari unalalamika gari hii kimeo etc
 
Spare za gari zinatakiwa zibadilishwe kutokana na umbali gari iliotembea mfano water pump, timing belt, etc kwaio ukiwa hauna taarifa hizo unaweza jikuta unaendesha gari unalalamika gari hii kimeo etc
asante sana mkuu nimekuelewa vizuri sana
 
Iko sawa mkuu...
 
Shukrani mkuu umeniongezea kitu.
 
Uwe makini sana utauziwa gari ilishatumika tayari kwa bei ya kifala
 
Options zote mbili ziko mezani bro! Nataka kufanya ulinganisho wa gharama
Agiza Japan direct. Bongo Gari zinapitia Zanzibar zinatembelewa hata miaka 2 then zikija huku wanang'oa zile plate number unauziwa tena
 
Kwa faida yangua sijui nifafanulie ODDO meter ni nini nisinepigwa nikiwa nanunua gari
ODO meter ni ile sehemu ya kuonyesha ishara na alama mbali mbali kwenye dashboard ambayo inakuonyesha umbali ambao gari imetembea tokea ilipoanza tumika kwa mara ya kwanza.

Naaambatanisha na picha hapo chini uone pahala ilipo.....
Tazama hapo kwenye namba za digital. Ingawa kuna gari especially za miaka ya nyuma hizo namba wanatumia mfumo wa namba za kujizungusha.
 
I
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…