Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo godoro unalotumia lina ujazo mdogoKwel kbs,mim kila nikilala asbh naamka mgongo ukiwa unauma.kwhyo hapo shida godoro et
TANFOAM. Hautajutia
Tan foamTANFOAM. Hautajutia
Vizuri sana bossTangu nijue kuzingatia density kwe uchaguzi wa godoro sipati shida tena.
Kwa kigezo Cha density naona vita supreme yuko juu zaidi ya tanfoam.Tangu nijue kuzingatia density kwe uchaguzi wa godoro sipati shida tena.
Kwa kigezo Cha density naona vita supreme yuko juu zaidi ya tanfoam.
Maana vita supreme density yake ni 23 na tanfoam 18.
Aaah kumbe nilipunguza!!??.Vita Supreme ni density 28 mkuu, na huo ndo uimara wa godoro…. si vinginevyo.
Kama hupo mwanza fika ashamjamal pale pale utaona duka la kiwanda lipo bei nzuri sana unabebaWadau nataka kununua godoro 5 kwa 6 bei ya kiwandani inakuwaje? Kwa anaejua anielekeze please
Hii mentality kama yako ndo inafanya watu wanapigwa sana bei pale kariakooSku zote k2 kizuri ni chenye gharama,kwahyo angalia godoro linalouzwa bei ya juu hapo hilo ni mzuri bila kujali kampuni
Mnangani mzunguko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama hupo mwanza fika ashamjamal pale pale utaona duka la kiwanda lipo bei nzuri sana unabeba
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nenda keko/Chang"ombe mbozi road..kuna mtaa unaitwa Dakawa street/Dakawa Road kwa mbele hapo kona ukiulizia Godown ya magodoro utapata hapo..wana magodoro ya aina zote unayoyajua wewe na hata mawakala wengine huwa wanachukua hapo kwa bei ya kiwandani na wanawauzia huku wengine kwa bei ya juu kidogo (ili wapate ugali kidogo)Nko dar mkubw
Leo nimepata elimu ingine juu ya uimara wa godoro, Naomba unijuze kwenye magodoro tukiongelea density tunamaanisha nini?Vita Supreme ni density 28 mkuu, na huo ndo uimara wa godoro…. si vinginevyo.
Rock city moja kama kawaMnangani mzunguko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo nimepata elimu ingine juu ya uimara wa godoro, Naomba unijuze kwenye magodoro tukiongelea density tunamaanisha nini?
Na je density ya godoro Dodoma QFL ni ngapi na ubora wake ukoje?
Mkuu density unajuaje...mnisamehe mwenzenu mshamba jamaniTangu nijue kuzingatia density kwe uchaguzi wa godoro sipati shida tena.