Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Nenda beforward chukua impreza hii Used 2008 SUBARU IMPREZA 15S/DBA-GH2 for Sale BM723603 - BE FORWARDBalaa kama Ractis ndio hazinivutii kabisa nilikuwa nataka ka subaru impreza sasa ndio hvy mambo yamegoma
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Tunawaita vishandu hao, jamaa wana hatari sana, dogo mmoja alikuwa anaingiza gia kwa mkono na chuma ipo speed.. bahati mbaya lakini ni marehemu kwa sasa, utambulisho wao we angalia sendo na turasta na pikipiki imefungwa spika zinapigwa singeri tuHiyo ml saba unapata ractis safi kabisa ndugu ndugu hapa ninapotype mwili wote na mkono unauma vibaya mno,ni takribani wiki mbili tangu nipige mzinga mmoja matata sana wa piki piki nikaapa mimi na piki piki basi tena jichunguze tabia yako kwanza katika chombo kinahitaji uwe mwanaume na sio mvulana basi ni piki piki na kingine nilichogundua unawez kuwa makini sana lakini akatokea jamaa wa visendo na kiduku cha rasta akakusababishia ajali kwa ujinga wake ,nb kanunue gari
Kwa bajeti yake anapata used ya Kawasaki Kx250,Honda Crf250. Bike kama hiyo hapati hata iwe used.
Sele nadhani ni muhuni tu.maana hamna siku namba yake inapatikana.na page yake ya insta kuna muda inapotea na kurudi.Chukua chuma hiyo achana na hao washamba wa magari
Mm ninayo KTM, hizi bike zina raha yake sana.
Hapo ahida sio hiyo Pikipiki, shida ni huyo sele. Una uhakika yupo Zanzibar? Kuwa makini wengi matapeli sana
Nashukuru sana kakaNenda beforward chukua impreza hii Used 2008 SUBARU IMPREZA 15S/DBA-GH2 for Sale BM723603 - BE FORWARD
Mpaka Dar ni TZS 6.M, agiza as transit to Malawi kupitia Kasumulu, hiyo 1.M utawaachia vijana wa paper work!.
P
Nimeli notice hilo mkuuSele nadhani ni muhuni tu.maana hamna siku namba yake inapatikana.na page yake ya insta kuna muda inapotea na kurudi.
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa ushauri mkuu [emoji120]Fanya mchezo kuagiza ki IST Befoward Kwa 2000$ Andika on transit ,Na kulipia paper kwa Transit utatozwa Kama 1.3M fanya inaenda zambia Au malawi Alafu irejeshwe nchini
Option 2 agiza kigari chochote cha 6M to dar Alafu nunua cheses number ya gari lolote ambalo ama lilipata ajali Au limeharibika of the same mode Alafu jifanye umefufua hilo maana TZ mnatuhusiwa kufufua ila Tatizo litasoma namba A-D haitasoma Kama gari linaloingizwa
Britanicca
Upo sahihi sana.Tofautisheni bike kubwa na hizo bodaboda, ukiwa na bike kubwa hata wenye gari anakuogopa. Hizi pikipiki ndogo wenye magari wanazarau sana wanajua wewe ni bodaboda.
Huwezi kukuta mtu anaendesha BMW GS/RS1200 au Honda CBR anapenyeza katikati ya magari. Riders wanaojielewa wapo Smart, mpaka wenye magari wanawatizamaUpo sahihi sana.
Mlio wenyewe unaogofya.
Hivi hii process inasaidia kweli, au ndio gari ikirudishwa haulipi excess?Fanya mchezo kuagiza ki IST Befoward Kwa 2000$ Andika on transit ,Na kulipia paper kwa Transit utatozwa Kama 1.3M fanya inaenda zambia Au malawi Alafu irejeshwe nchini
Option 2 agiza kigari chochote cha 6M to dar Alafu nunua cheses number ya gari lolote ambalo ama lilipata ajali Au limeharibika of the same mode Alafu jifanye umefufua hilo maana TZ mnatuhusiwa kufufua ila Tatizo litasoma namba A-D haitasoma Kama gari linaloingizwa
Britanicca
Inasaidia sanaHivi hii process inasaidia kweli, au ndio gari ikirudishwa haulipi excess?
Hapa kwenye usajili inakuwaje boss kwa hiyo mbinu ya on transitFanya mchezo kuagiza ki IST Befoward Kwa 2000$ Andika on transit ,Na kulipia paper kwa Transit utatozwa Kama 1.3M fanya inaenda zambia Au malawi Alafu irejeshwe nchini
Option 2 agiza kigari chochote cha 6M to dar Alafu nunua cheses number ya gari lolote ambalo ama lilipata ajali Au limeharibika of the same mode Alafu jifanye umefufua hilo maana TZ mnatuhusiwa kufufua ila Tatizo litasoma namba A-D haitasoma Kama gari linaloingizwa
Britanicca
Nipe mchakato wa In-Transit ama IT nione naweza save kiasi gani tofauti na nikilipa kodi directlyInasaidia sana
Ile 1.M iliyobaki kwenye ile 7.M ndio inashughulikia hili.Hapa kwenye usajili inakuwaje boss kwa hiyo mbinu ya on transit
Dogo nimeisha mueleza kila kitu kuhusu hiyo midude Nataka kununua Heavy Motor Bike aina ya Kawasaki ila ushauri ninaopata kwa walionizunguka ndio napata uogaPascal Mayalla hebu mpe experience ya hilo dude huyu kijana.