nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Nataka kununua komputa desktop kwa ajili ya kurusha movies na nyimbo ipi model yenye kasi?
Bajeti yangu ni laki 3 na 30 wakuu asanteni.
Bajeti yangu ni laki 3 na 30 wakuu asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Movie na Series huhitaji computer yenye nguvu sana Around laki na nusu hivi inatosha.Nataka kununua komputa desktop kwa ajili ya kurusha movies na nyimbo ipi model yenye kasi?
Bajeti yangu ni laki 3 na 30 wakuu asanteni.
Mkuu ulipata mpya auMovie na Series huhitaji computer yenye nguvu sana Around laki na nusu hivi inatosha.
Ukipata workstation ni vyema zaidi ili ikupe ports za kutosha na expansion slot nyingi kama Sata, Molex, Pcie Etc.
Kuifanya iwe faster inunulie SSD na ram za kutosha, movies weka kwenye HDD na windows pamoja na programs muhimu kama browser, download managers, software za ku convert etc weka kwenye ssd.
Usiangalie model angalia tu specification recomended tafuta angalau i7 gen ya 4 kama i7 4790 ama i7 4770, ila ukipata i5 yake ama i3 yake sio mbaya kwa kazi zako. Kariakoo mitaa ya likoma na Ndada zimejaa kibao hizi desktop niliwahi chukua moja ya i3 kama 130,000 hivi.
Hapana sio mpya, na. Hupati desktop mpya kwa hio bei, hata i3 ikiwa mpya ni close to 1MMkuu ulipata mpya au
vip 1 telabite bei gani ukoHapana sio mpya, na. Hupati desktop mpya kwa hio bei, hata i3 ikiwa mpya ni close to 1M
Tafuta 3TB ama 4TB nyingi around laki 1, ukinunua kwa 1TB itakucost sana.vip 1 telabite bei gani uko
ndio boss lengo nipate hata 3 tu, vip bei gani ukoTafuta 3TB ama 4TB nyingi around laki 1, ukinunua kwa 1TB itakucost sana.
Around laki 1ndio boss lengo nipate hata 3 tu, vip bei gani uko
duh parefuAround laki 1
Oya TB 3 kumbuka ni gb 3000duh parefu
Mkuu,nimekuwa nikikufuatilia sana kwenye haya mambo ya science na technology hasa computer,naomba unishauri ni laptop ipi naweza kuipata Kwa budget ya 350-400k Kwa matumizi ya gaming?Around laki 1
Kwa hio budget unatafuta i5/i7 zinazoishiwa na H ama HQ gen ya 6 kupanda, zenye Quadro GPU, japo Quadro sio gaming gpu ila kibongo bongo ndio zinakua bei rahisi.Mkuu,nimekuwa nikikufuatilia sana kwenye haya mambo ya science na technology hasa computer,naomba unishauri ni laptop ipi naweza kuipata Kwa budget ya 350-400k Kwa matumizi ya gaming?
Shukrani sana mkuu,barikiwaKwa hio budget unatafuta i5/i7 zinazoishiwa na H ama HQ gen ya 6 kupanda, zenye Quadro GPU, japo Quadro sio gaming gpu ila kibongo bongo ndio zinakua bei rahisi.
Kuna mdau alikua anauza juzi tu hapa jukwaani ila naona ameimark kama sold, ila ukicheki FB marketplace unapata
Bei Facebook anmelden
Melde dich bei Facebook an, um dich mit deinen Freunden, deiner Familie und Personen, die du kennst, zu verbinden und Inhalte zu teilen.www.facebook.com
Kama hio naona jamaa wanaipost sana i7 6820HQ kwa Quadro M1000 kama sijakosea, nyengine zinaenda hadi M3000