Nataka kununua Toyota Nadia ushauri

salari

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
3,045
Reaction score
5,397
Habari wanajamiiforums,

Nataka kununua toyota nadia yenye engine ya 3S mwenye uzoefu nayo naomba anipe

-Mazuri yake

-Mabaya yake

Natanguliza shukrani za dhati kwa wote watakaonisaidia!
 
Gear leaver yake si unajua lakini ilipo?

Otherwise ni gari nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…