hata sasa ina size 14 ndiyo imetoka na gari but ipo chiniFunga size 14..usiweke spancer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata sasa ina size 14 ndiyo imetoka na gari but ipo chiniFunga size 14..usiweke spancer
Hiyo ni kweli mkuu, hata watengenezaji wameshauri unapofanya mabadiliko kwenye tyres isizidi au kupungua 3%.Nimetumia gari za aina hizo Probox pamoja na Corolla van.Corolla niliyokuwa nikiitumia awali ilikuwa na size 13,gari ilikuwa imetulia sana barabarani. ..unapiga mpaka 140km/h gari iko stable mbaya. ..hii ninayotumia nimefunga size 14 hainifurahishi utulivu wake barabarani.Sasa itategemea pia na mapenzi yako ila unapobadili size ya tairi stability ya gari pia inakuwa tofauti.
Mkuu kuweka spacer kuna madhara gani ukilinganisha na kubadirisha tyre size? kwani kwa upande wangu naona kuweka spacer naona ni cheap ukilinganisha na suala la kubadirisha tyre size,, kwani hapo lengo ni kunyanyua garikKuna jamaa yangu ameweka tyre size 175-75-15 imenyanyuka vizuri bila spacer.
mimi natumia toyota succeed mkuu. iko vizuri sana. hakikisha ina engine ya 1NZ ambayo ipo hata kwenye raum. sio gari ya kusumbua sumbua. spare zipo kwasababu zinaingiliana na probox na raum kwa wingi sana.. consumption ndogo hasa kwa long safari. niliwahi kutoka arusha to dar kwa mafuta ya shs 86,000 only na hapo ni full A.C. ... hakikisha ukiinunua unaweka rims kubwa kidogo na tairi kubwa ili inyanyuke juu kidogo hata kwenye rough road isikuletee shida. otherwise its a very humble car..and spacious.. watu wengine huwa wanazicheka kua zina muonekano mbaya but I dont care.
Umeipimp nikupe ngapi uniachieSucceed n gari zuri nimelitumia mwaka wa 3 sasa sijai Jutia wala kufikiri kupak kwa mafuta kupandaView attachment 2319676View attachment 2319677View attachment 2319679
Tyre umefunga size gani?Succeed n gari zuri nimelitumia mwaka wa 3 sasa sijai Jutia wala kufikiri kupak kwa mafuta kupandaView attachment 2319676View attachment 2319677View attachment 2319679
Succeed n gari zuri nimelitumia mwaka wa 3 sasa sijai Jutia wala kufikiri kupak kwa mafuta kupandaView attachment 2319676View attachment 2319677View attachment 2319679Hongera sana hii chuma kweli
Natamani niimiliki kama hii ntafurahi sanaSucceed n gari zuri nimelitumia mwaka wa 3 sasa sijai Jutia wala kufikiri kupak kwa mafuta kupandaView attachment 2319676View attachment 2319677View attachment 2319679
Gari nzuri na gari ya kaziNdugu wana jamvi hii gari nimeipenda kwanza ina nafasi kubwa ya kubeba mzigo, pili engine cappacity yake ni 1.5. nataka kununua hiyo kuna mwenye uzoefu nayo tusaidiane?