Vipi huyu Asha D Abinallah anakufaa sana ni mzuri?
Duu mkuu unanitafutia balaa ? Sio mimi niliyeleta madaVipi huyu Asha D Abinallah anakufaa sana ni mzuri?
Mods wengi ni wanaume hasa hao wanaofuta postTena ikitokea siku wamefuta post yangu namsubiri jioni, tukiwa kitandani namuuliza baby mbona mmefuta post yangu?
Unasemaje kuhusu Hilo?
Kweli huyo atakuwa mrembo
Walivyozizoea ban, siku mkizinguana unapigwa life ban.Habari wanajamvi?
Nimevutiwa sana na utendaji na umakini wa wafanyakazi wa JF, kama kuna mfanyakazi wowote aidha invisible, mods, admin nk wakike ambaye yupo singo anitafute PM'
Kwani hawa wafanyakazi hawna hasira, wavumilivu, wapo makini sasa nikimpata mmoja hata ndoa yetu na familia itakuwa makini sana. Kipato chango kwa mwezi ni kama US $720 (dola 720)
Nadhani ombi langu litapatiwa ufumbuzi