Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,751
Habari wanajamvi?
Nimevutiwa sana na utendaji na umakini wa wafanyakazi wa JF, kama kuna mfanyakazi wowote aidha invisible, mods, admin nk wakike ambaye yupo singo anitafute PM'
Kwani hawa wafanyakazi hawna hasira, wavumilivu, wapo makini sasa nikimpata mmoja hata ndoa yetu na familia itakuwa makini sana. Kipato chango kwa mwezi ni kama US $720 (dola 720)
Nadhani ombi langu litapatiwa ufumbuzi
Nimevutiwa sana na utendaji na umakini wa wafanyakazi wa JF, kama kuna mfanyakazi wowote aidha invisible, mods, admin nk wakike ambaye yupo singo anitafute PM'
Kwani hawa wafanyakazi hawna hasira, wavumilivu, wapo makini sasa nikimpata mmoja hata ndoa yetu na familia itakuwa makini sana. Kipato chango kwa mwezi ni kama US $720 (dola 720)
Nadhani ombi langu litapatiwa ufumbuzi