Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

Ila wkt mwingine ni wepesi sana kuliwa kuliwaliwa..akiona una pesa vya kubadilisha chakula
Hahahah mchawi mjapani tu. Hapo ukute kijamaa chake nacho ni kiticha lazma kilizwe tu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwalimu Nyerere alikuwa Mwalimu , alifundisha Pugu sekondari kama siyo Minaki sec,
Anko Magu nae nazani alikuwa Mwalimu kama sijakosea, Shule alizofundisha ndo sizijui
 
Mwl yupi? Nyerere au mbona una laana wew unaweza kumuoa baba wa taifa au mama maria????!!!!!
 
Mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…