Hahahah mchawi mjapani tu. Hapo ukute kijamaa chake nacho ni kiticha lazma kilizwe tu.πππIla wkt mwingine ni wepesi sana kuliwa kuliwaliwa..akiona una pesa vya kubadilisha chakula
Unatakiwa unioe ndio uwe rais.Niombee nami niwe Raisi ili nikuoe.
ππππππ ila kweli, walimu wengi wana nyota ya uraisi. Ukioa tu umeula ila Janeth ndio sanaUnatakiwa unioe ndio uwe rais.
Umeona sasa[emoji1745][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kweli, walimu wengi wana nyota ya uraisi. Ukioa tu umeula ila Janeth ndio sana
πππkhaaaa! Jamani, meshindwa kuvumilia, Mungu anakuonaππUsiku wanaweweseka sana utasikia
A e i o u, utasikia we swalehe acha kupiga kelele
Upo tayari ?!
unawaharibia walimu fursaDhambi zipi tena mkuu [emoji28]
Ha ha haa,ila we jamaa we we..daaAna hela?
Umeshindwa kuvumilia nn mkuu wangu [emoji28][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaa! Jamani, meshindwa kuvumilia, Mungu anakuona[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kweli, walimu wengi wana nyota ya uraisi. Ukioa tu umeula ila Janeth ndio sana
Oa nurse,
Mwl yupi? Nyerere au mbona una laana wew unaweza kumuoa baba wa taifa au mama maria????!!!!!
HahahaUsiku wanaweweseka sana utasikia
A e i o u, utasikia we swalehe acha kupiga kelele
Upo tayari ?!
MrejeshoHabar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume
Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.